EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Hii duo ilikua on fire sana wanapotangaza mpira, yaani walikuwa wanaiva saana.
Baada ya Enock kutangaza nia ya kugombea Ubunge huko Mbozi, mara akapata ajali ila akatoka mzima akaendelea na mchakato wa kura za maoni, japokuwa hazikutosha.
Enock kama watumishi wengine wa Umma angetakiwa kurejea kazini baada ya kipindi flani kupita. Ila naona huyu mwamba ni kama kapotea kabisa.
Au.mimi kwa kuwa sisikilizi TBC so sijui whereabouts za huyu jamaa.
Je, kapangiwa kazi nyingine?
Toka amepotea "sauti ya radi" kutoka Azam media anatamba tu.
Mwenye kujua walipo hawa jamaa atujuze.
Baada ya Enock kutangaza nia ya kugombea Ubunge huko Mbozi, mara akapata ajali ila akatoka mzima akaendelea na mchakato wa kura za maoni, japokuwa hazikutosha.
Enock kama watumishi wengine wa Umma angetakiwa kurejea kazini baada ya kipindi flani kupita. Ila naona huyu mwamba ni kama kapotea kabisa.
Au.mimi kwa kuwa sisikilizi TBC so sijui whereabouts za huyu jamaa.
Je, kapangiwa kazi nyingine?
Toka amepotea "sauti ya radi" kutoka Azam media anatamba tu.
Mwenye kujua walipo hawa jamaa atujuze.