Wapo wapi makocha wa zamani wa Simba Zoran Mark, Robertinho na Benchikha?

Wapo wapi makocha wa zamani wa Simba Zoran Mark, Robertinho na Benchikha?

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Hawa makocha baada ya kupigwa na Yanga walitimuliwa wote Kwa nyakati tofauti, hadi Leo hawajulikani wapo wapi? Labda wapi makwao wakilea wajukuu
Yaani hao makocha hawana hadhi hata ya kufundisha championship

Yanga ndo timu inawapa platform coaches, wanakuja Yanga wanapata jina na kuaminiwa na timu kubwa

1. Nesreden Nabi

Huyu alikuja Yanga akiwa ametimuliwa El marrek ya Sudan na akiwa hana timu, Yanga tulimla timu akaja kutawala soccer la TANZANIA na Africa, baada ya kutoka Yanga alijiunga na bingwa Morocco FAR Rabbat na Sasa yupo Kaizer chiefs ya South Africa

2. Miguel Gamondi

Alikuja akiwa amekaa kwao bila timu zaidi ya mwaka, akaja Yanga kutawala soccer ikiwa ni pamoja na kumpiga mtani goli 5 na kumfunga mara nne mfululizo

3 Sead Ramovic

Huyu ni coach kijana alikuja Yanga akitokea timu ndogo Galaxy, amekaa Yanga miezi miwili Sasa anajiunga na miamba ya Algeria, CR Beilouzdad

Sijaona offer ya timu ikimuhitaji coach wa Simba Fadlu David's ambaye ana historia ya kushuka daraja

Mlete mdhungu
Yanga bingwa
 
IMG_20241231_164052_104.jpg
 
Inaelekea una matatizo ya akili au yanga kutolewa michuano ya Afrika na Simba kuendelea kumekuchabganya.
Zoran alipoondoka alienda Misri na baadaye Libya Roberthino Yuko Rwanda na Benchikha alienda Js Kyabile ya Algeria kabla ya kujiuzulu.
Hivi unajua kishingo alipata ofa ngapi baada ya kuondoka Simba? Pablo, Kyle Dyer au Gomez.
Kama mnapandisha cv za makocha tuelezeni kwanini Mwinyi Zahera anatangatanga Tanzania.
 
Inaelekea una matatizo ya akili au yanga kutolewa michuano ya Afrika na Simba kuendelea kumekuchabganya.
Zoran alipoondoka alienda Misri na baadaye Libya Roberthino Yuko Rwanda na Benchikha alienda Js Kyabile ya Algeria kabla ya kujiuzulu.
Hivi unajua kishingo alipata ofa ngapi baada ya kuondoka Simba? Pablo, Kyle Dyer au Gomez.
Kama mnapandisha cv za makocha tuelezeni kwanini Mwinyi Zahera anatangatanga Tanzania.
Jibu swali mbumbumbu ww
Robertinho ashafukuzwa huko Rayon sports club
 
Unywe kuka halafu uwe na akili mimi sijawahi kuona.
 
Hawa makocha baada ya kupigwa na Yanga walitimuliwa wote Kwa nyakati tofauti, hadi Leo hawajulikani wapo wapi? Labda wapi makwao wakilea wajukuu
Yaani hao makocha hawana hadhi hata ya kufundisha championship

Yanga ndo timu inawapa platform coaches, wanakuja Yanga wanapata jina na kuaminiwa na timu kubwa

1. Nesreden Nabi

Huyu alikuja Yanga akiwa ametimuliwa El marrek ya Sudan na akiwa hana timu, Yanga tulimla timu akaja kutawala soccer la TANZANIA na Africa, baada ya kutoka Yanga alijiunga na bingwa Morocco FAR Rabbat na Sasa yupo Kaizer chiefs ya South Africa

2. Miguel Gamondi

Alikuja akiwa amekaa kwao bila timu zaidi ya mwaka, akaja Yanga kutawala soccer ikiwa ni pamoja na kumpiga mtani goli 5 na kumfunga mara nne mfululizo

3 Sead Ramovic

Huyu ni coach kijana alikuja Yanga akitokea timu ndogo Galaxy, amekaa Yanga miezi miwili Sasa anajiunga na miamba ya Algeria, CR Beilouzdad

Sijaona offer ya timu ikimuhitaji coach wa Simba Fadlu David's ambaye ana historia ya kushuka daraja

Mlete mdhungu
Yanga bingwa
Acha ushamba basi...porojo porojo tuu viwanja vya mazoezi vinawashinda kwa kuendekeza porojo ndo nini?..
Kichwa chako mbn kinashndwa kutafakari kwa nini hizi timu hazina viwanja?
 
Back
Top Bottom