Wapo Wapi Ntibazokiza Na Mzee Mpili?

Wapo Wapi Ntibazokiza Na Mzee Mpili?

ibanezafrica

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,261
Reaction score
6,553
Kulikoni Wananchi tunawakosa watu hawa muhimu sana katika Yanga hii mpya?
Upande wa Kikosi na Upande wa hamasa
Nina imani kubwaSaidoo angeungana na akina Bangala na Mayele na Aucho tungepata matokeo zaidi ya haya kwa hatua hizi za mwanzo
Tuombe uongozi kujaribu kwa haraka kuturudishia saidoo lakini pia upande wa hamasa ajulikane mzee ana tabu gani
 
Kulikoni Wananchi tunawakosa watu hawa muhimu sana katika Yanga hii mpya?
Upande wa Kikosi na Upande wa hamasa
Nina imani kubwaSaidoo angeungana na akina Bangala na Mayele na Aucho tungepata matokeo zaidi ya haya kwa hatua hizi za mwanzo
Tuombe uongozi kujaribu kwa haraka kuturudishia saidoo lakini pia upande wa hamasa ajulikane mzee ana tabu gani
Una shida mahali wewe! Siyo bure.
 
Kulikoni Wananchi tunawakosa watu hawa muhimu sana katika Yanga hii mpya?
Upande wa Kikosi na Upande wa hamasa
Nina imani kubwaSaidoo angeungana na akina Bangala na Mayele na Aucho tungepata matokeo zaidi ya haya kwa hatua hizi za mwanzo
Tuombe uongozi kujaribu kwa haraka kuturudishia saidoo lakini pia upande wa hamasa ajulikane mzee ana tabu gani
Ntibazonkiza kaishaomba radhi na anepewa tena nafasi

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Hakuna Team Hapo Hilo Ni Genge La Wahuni Wachache
 
Mzee Mpili kajichimbia Rufiji kusaka utalaam zaidi kujipanga kwa dabi ya kariakoo kama kawaida, Simba lazima alale tena, safari hii 2 ubwabwa. Ubingwa chukueni ila kwa Mkapa hamtokiiiii - si mimi hii ni kauli ya Mzee Mpili.
 
Back
Top Bottom