Wapo wapi oil sumu,mpiga msuri na alshabab......

NAAMINI

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2013
Posts
672
Reaction score
235
hawa ni vijana waliojizolea umaarufu mkubwa kipindi fulani humu jukwaani...kwasasa itakuwa wapo shule kwa hiyo hawaonekani tena...kumbe dawa ya watoto hawa ilikuwa ni shule tuuuu...
 
Hahaaaa, vijisent vya likizo viliwapa kibri. Loan board ikicheka utawaskia wamerudi.
 
Ha ha haa
Boom lishangia ni full bata 2uuuuuuuuuu

ila Assignment nyingi kishenzi.....!!!
 
oil sumu ndie ambae simuoni ila huyu mwendawazimu mpigamsuli yupo sana humu ndani

tena huyu ----- oil sumu alishawahi fanya nipigwe ban...aiseee kweli shule ngumu...wahadhiri wakazieni ili mambumbumbu kama hawa wasizoee tena hili jukwaa
 
Last edited by a moderator:
oil sumu na education yake kaambiwa not secure for 2013/2014 loan.! so anatafta another way
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…