Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angekua vizuri asingekubali u-DC. Nahisi hakuandaliwa kuwa kiongozi maana kuna wakati ulikua ukimsikiliza utadhaniwl wa shule ya msingi. Haelewi mifumo ya serikali inavyofanya kaziBasila yupo sana tu
Na yuko vizuri tu
Ova
Udc alienda tuAngekula vizuri asingekubali u-DC
Haangaiki kivipi? Kwan humuoni alivyoumia kupigwa chini?Udc alienda tu
Ila wakina mwanukuz wako
Vzr,bi mkubwa wake kaawacha
Njema....huoni hangaiki na vyeo tena
Ova
Alilia Sana. Akaanza kilujisifia na kulalamika kana kwamba alikuwa na hati mmiliki na ukuu wa Wilaya.Haangaiki kivipi? Kwan humuoni alivyoumia kupigwa chini?
Alilia Sana kutemwa. Nadhani alikuwa na ambitions nyingi akashangaa wahuni wamezikata katikati. Siasa za bongo ngumi Sana.Udc alienda tu
Ila wakina mwanukuz wako
Vzr,bi mkubwa wake kaawacha
Njema....huoni hangaiki na vyeo tena
Ova
Kweli kabisa. Siku hizi Udc umeshuka Sana hadhi imekuwa sehemu ya fadhila na kupunguza njaa kwa wliotemwa.Angekula vizuri asingekubali u-DC
Huyu Bibi ndio alikuwa ambition kubwa sana.....kiherehere mnooooo
Alikua wa moto.. angeslow down angekua mzitoHuyu Bibi ndio alikuwa ambition kubwa sana.....kiherehere mnooooo
Kilikuwa kifaa cha O-Ten kama sijakosea!
Nipo nao hapa Kiberege, nikupe namba zao ?Hawa waliingia siasa Kwa pupa na kuabudu baadae mfumo umewatema bila huruma Wapo wapi Kwa sasa?
Jiwe akamtulizaHuyu Bibi ndio alikuwa ambition kubwa sana.....kiherehere mnooooo
JafaraiKilikuwa kifaa cha O-Ten kama sijakosea!
Asante kwa kuweka sawaJafarai
role modal wa shishi kwa kuchezea vijana wa kiumeHawa waliingia siasa Kwa pupa na kuabudu baadae mfumo umewatema bila huruma Wapo wapi Kwa sasa?
Hapana Alikuwa Jafarai HaaKilikuwa kifaa cha O-Ten kama sijakosea!
Mzee wa Nipo Busy..Hapana Alikuwa Jafarai Haa