Nakumbuka enzi zile wakati hakuku wa na members wengi kama sasa, na internet ilikuwa hadimu.
Yaani wanachat tulikuwa kama family ndogo hivi, tulikuwa tunajuana personality ya kila mtu wako wapi.
Dues, Curtis, uncle Ben,mdosi mzalendo,rubabi, nshomile,poble cl,milosevic,abu muttalib,kishoka, na yule mama, jina nimelisahau.
Tujulishane
Yaani wanachat tulikuwa kama family ndogo hivi, tulikuwa tunajuana personality ya kila mtu wako wapi.
Dues, Curtis, uncle Ben,mdosi mzalendo,rubabi, nshomile,poble cl,milosevic,abu muttalib,kishoka, na yule mama, jina nimelisahau.
Tujulishane