Wapo wapi wakongwe wa nyenzi.com

Mzee2000

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2009
Posts
528
Reaction score
221
Nakumbuka enzi zile wakati hakuku wa na members wengi kama sasa, na internet ilikuwa hadimu.

Yaani wanachat tulikuwa kama family ndogo hivi, tulikuwa tunajuana personality ya kila mtu wako wapi.

Dues, Curtis, uncle Ben,mdosi mzalendo,rubabi, nshomile,poble cl,milosevic,abu muttalib,kishoka, na yule mama, jina nimelisahau.
Tujulishane
 

Nimeiona hii post by chance kweli. Sijui kama ulijibiwa swali lako.Nadhani mama unayemzungumzia alikuwa anaitwa Mamantilie. Such a sweet lady, sijui yuko wapi sasa. Zaidi ya miaka 15 iliyopita.
 
Haikuwa hadimu tu,wengi walikuwa hawaijui kabisa.Si unajua hadimu ni kitu ambacho unakijua,unakitaka lakini kinapatikana kwa shida. Kama kutafuta walokole afghanistan.
 
Nimeiona hii post by chance kweli. Sijui kama ulijibiwa swali lako.Nadhani mama unayemzungumzia alikuwa anaitwa Mamantilie. Such a sweet lady, sijui yuko wapi sasa. Zaidi ya miaka 15 iliyopita.

wewe jiangalie...., nani mama ntilie?
sweetlady wangu yupo kwenye siasa
 
Last edited by a moderator:
Pole..sio Sweetlady wewe. Huyo mwingine ni mzee.
 
Nimeiona hii post by chance kweli. Sijui kama ulijibiwa swali lako.Nadhani mama unayemzungumzia alikuwa anaitwa Mamantilie. Such a sweet lady, sijui yuko wapi sasa. Zaidi ya miaka 15 iliyopita.

Ndio huyo Mama Ntilie, nimekumbuka.
 

Hapo kwenye bluu tu ndio nimepapenda. Si kwa ubaya lakini
 
Ndio huyo Mama Ntilie, nimekumbuka.
Nasikia huyu mama alikuwa msaidizi wa karibu wa Mwalimu (PS), kwa sasa ni mzee, amestaafu anaishi maeneo ya Kivule. Na Nyenzi.com kwa sasa ni kampuni kubwa imebadili jina na kuwa Climate Consult (T) Ltd.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…