Mheshimiwa Mungu.... bladifakenWanabodi salama?
Mwamba Lukuvi na Kabudi wako wapi? Bungeni wanaonekana kweli? Au wanaendelea kutoa ushauri ikulu post walizopewa na mama?
Si bure wewe kuna kitu umekihusisha na hii picha kichwani mwako kimawazo [emoji3]
Wapo walipo wakiendelea na kupiga kazi maalum.Wanabodi salama?
Mwamba Lukuvi na Kabudi wako wapi? Bungeni wanaonekana kweli? Au wanaendelea kutoa ushauri ikulu post walizopewa na mama?
WAMERUDI MAJALALANIWanabodi salama?
Mwamba Lukuvi na Kabudi wako wapi? Bungeni wanaonekana kweli? Au wanaendelea kutoa ushauri ikulu post walizopewa na mama?
mara zote ngozi nyeusi hufikiria mambo meusi na yaliyo gizani.Si bure wewe kuna kitu umekihusisha na hii picha kichwani mwako kimawazo [emoji3]