TotoAisee
ni kweli ni ujinga, whether angekaa nalo moyoni au kulisema hadharani lakini alichokisema ndio ukweli halisi wa kinachoendeleaDah! Zee zima linajisifia ujinga!
View attachment 3067866
NB: Kuwa na mahusiano mengi sio sifa bali ni UJINGA
NaamToto
Shkamoo toto๐Naam
Marabaa hujamboShkamoo toto๐
InaumaDah! Zee zima linajisifia ujinga!
NB: Kuwa na mahusiano mengi sio sifa bali ni UJINGA
Kapanya buku wewe ๐๐๐Marabaa hujambo
Dr unazingua ๐Inauma
Kwanini sasa๐๐๐คKapanya buku wewe ๐๐๐
Mimi floor ya tatu chumba namba moja block E UDOM๐๐๐Tatizo hukuwahi kunambia umri wako,. Anyways shikamoo๐ซก
Wewe ni kibonge ๐๐๐ tuMimi nina miaka 37 wewe je?๐ค
๐Siku mtakayoniona ndio siku mtashika adabu๐Wewe ni kibonge ๐๐๐ tu
Seriously!?Mimi nina miaka 37 wewe je?๐ค
Yeah! Nina 42 mkuu, wewe je?Seriously!?