wapwaaz nimewamiss sana aisee.....!
mi naona TUKUTANE TU NA KUNYWA POMBE!(mavodka,valuu,viceroy,grants n.k)
mi naona inafaa zaidi
kwanin inafaa zaidi?
-inauma sana kuangalia BUNGE LA KITOTO kama la tanzania
-inauma sana kuangalia ''command theories'' za mh spika
-inauma sana unapowapigia watu kura wao wanaenda mjengoni kufundishana ''kufuta/kurekebisha kauli zao)
-inauma sana lala giza kila siku wakati watu wanaingiza siku kwa posho nono
-inauma sana aisee inauma kuona bwawa la mtera linapongua maji kwa kina cha sm 3 kila siku
-inauma sana kulala giza ariff.....!inauma sana aisee!
-inauma sana kuziangalia inflations za ajabu ajabu(sukari kilo sh 2100,mafuta ya kula lita tano sh 18900/=)
WAPWAZ TUKUTANE TU TUNYWE POMBE wakati tunausubiria umeme
aisee arriff gy,rose1980,asprin,bigirita,synnovate,mwenyeji,finest,st rr,askofu,firstlady,mwanajamiione,pakajimmy,wiselady,fidel80,kizuri,js,ld,kimeywaukwey,mariaroza,baba_enock,dena amsi aisee tukutane aisee....!aisee de novriiino iko wapi arrif aisee?!
PARE PARE