Hahaaa! Aiseee! Mi nawapenda aisee, halafu nawatamani aisee,
Aisee mi nipo nanyi kiroho aisee. Leo mimi nimekatazwa kunywa pombe aisee. Nimeambiwa nisevu hela ya bia na supu ili ninunue sukari.
nashangaa we babu digi c uwahi maeneo unafanya nini huku? Big mzima babu sijakuona cku mingi asee mic uAiseee! Hii inanisikitisha sana, tena sana. Yani bado umekaa hapo internet cafe jenereta linakupigia kelele wewe umo tu badala ya kuwahi pare pare...weweweweee......
Tunapatafutia sababu
dearest hapo juu 2mebaguliwa hatumo unaonaje na sisi 2kikutana kifyetu fyetu uku maana....,
athi nimekuulidha pale juu hujajibu bana?
Aisee mbona hamkuji? Mi na mjukuu mtiifu tushatia timu hapa tunakamata MARUNYAG!.... Inauma sana mnavyochelewa kutujoin
sasa si ndo maana naona bora TUKUTANE tunywe pombe mpwa?.....
Bigie says thank you today, tomorrow and always.
Bigie likes the whole of you
Bigie is honoured!
We Maty ina Trade Mark hii ujue.................Manenei manenei alba
Viceroy wametoa Premier eh? orait orait.Aisee mbona hamkuji? Mi na mjukuu mtiifu tushatia timu hapa tunakamata MARUNYAG!.... Inauma sana mnavyochelewa kutujoin
Teamo.......sikujua kama huwa unafuatilia maswala muhimu kama haya mazee................da inauma sana!!
Hivi hili suala la bwawa la mtera kuisha sijui kupungua maji si nilianza kulisikia tangu nasoma??? Hakuna uwezekano wa kufanya utaratibu wa namna ya kukabiliana na emergencies hasa katika hili??.........dah inauma sana
Ninamshauri Supika wa Bunge atoe idhini ya kupunguza posho ya Bunge (Wangeahirisha tu maana hakuna walifanyalo) na gharama zake zikapelekwa katika kufidia uzalishaji wa taifa unaoshuka kwa ukosefu wa umeme.
Dayyyyyyyyyyyyyyyym ....kumbe niko MMU bana.....
Mmh!Lizzy is stunned!
KARIBA wamefungulia mana maji yamekua mengi kupita kiwango! Uku ?
Embu mpe Lizly mtoko wa valentine kwanza kabla hajashuka kutoka cloud 9!Bigie - beyond expectation