Kiroho na Kimwili ingependeza zaidi! Asante mwaego
hahaaaaaaaaa... huyu mchungaji msanii aisee, hivi kwenli anaweza kwenda further north ya alipo aisee? au alihamia morocco?Rev umeenda lini Uhispania? Ukifika Bilbao utujulishe
Safari Njema
Uwe na safari njema Mkuu,
Nimecheka sana na kuvuta picha yako ulivyojikunja...humbled kuomba mambo ya kiroho na kimwili papo kwa papo!
Mungu akutangulie ufike salama...Zamani wababa walikuwa wanashilkilia machungwa yao katika hali kama hiyo na wamama wanashikilia mewata! Ila kwa sasa yafaa kukujulisha kuwa umekingwa na damu ya mwanakondoo wa Bwana!
DC
kama uko kwa anti beba hiyo mi-tennent ya kutosha, wa-kitaa wanayachapa sana hayoNaanza safari in three hours!
Mchungaji halhala mti na macho tu!!! maili mia nne si mchezo ati na hii wetha!!!!!!
Kuna ndafu huku nilishamfinya zile nanihii tangu september sasa usije ukaniangusha aisee......
I wish you all the best in your risky venture na msalimie sana huyo M-JF
Ukifanikiwa kuja bongo baada ya hiyo vekesheni yako tutakupokea na matarumbeta maana nimeshafanya buking kwa mzee kupaza na advansi nimetoa kabisaa
All teh best na karibu sana mkuu
sasa hiyo whiskey unadilute na nini? sio tennent?? i used tu du that wakati nimepata kazi ya kuzibua vyoo HuddersfieldTennents wanakunywa homeless bwana! Kwanini usishauri Whiskeys?
agreed mkuuIndian Tonic Schweppes! Tennents is for homeless kwa kweli
Thanks Mbu! Tusizungumzie soka kwa muda.