Wapwazz na Binamuz duniani kote!

Eeeeeeeeh ddnt knw that,yani uncle buji hujaniambia wakati mm ni mwenyekiti wako?
 
 
Waebrania 13

1Endeleeni kupendana kama ndugu. 2Msiache kuwakaribisha wageni, maana kwa kufanya hivyo watu wengine waliwakaribisha mal aika pasipo kujua. 3Wakumbukeni waliofungwa gerezani kama vile mmefungwa pamoja nao; pia wakumbukeni wanaoteswa, kwa kuwa na ninyi bado mnaishi katika mwili.

4Ndoa iheshimiwe na watu wote, na wenye ndoa wawe waaminifu kwa wenzi wao ; maana Mungu atawahukumu wazinzi na waasherati. 5Maisha yenu yasitawaliwe na tamaa ya kupenda fedha, na mridhike na mlivyo navyo; kwa kuwa yeye mwenyewe amesema, ``Sita kupungukia kamwe wala sitakuacha.'' 6Kwa hiyo tunaweza kusema kwa ujasiri, ``Bwana ni msaada wangu, sitaogopa kitu, mwanadamu anaweza kunifanya nini?''
 
Congratulations to Mr & Mrs Geoff.
May Almighty God join you in ever lasting love and make your life happy and best for your future together!
When can I see your Wedding photos?
 
Kumbe 1st Lady nawe wamo katika neno?
 

Nice !!!!! Hizo B ndizo zimekupendeza mbona sio Bht na Invisible! LOL
 
Congrats MR and Mrs Geof. May you enjoy married life.
 
Hongera kwa Mr and Mrs. Geoff...Mungu awaajaalie ndoa njema na watoto wengi...we need nieces and nephews.

mambo vipi dearest... mzima wewe?...mie naombeni pics tu, Kaizer/Fidel na wengineo mliohudhuria plz lpz pics.
 
mambo vipi dearest... mzima wewe?...mie naombeni pics tu, Kaizer/Fidel na wengineo mliohudhuria plz lpz pics.

Am very well my dear...u? how's everything? U in Nai? ile kahawa yetu eti 2010 karibia iishe! LOL
 
mambo vipi dearest... mzima wewe?...mie naombeni pics tu, Kaizer/Fidel na wengineo mliohudhuria plz lpz pics.

subiri Iribini ndo nilimpa hiyo tender na nta-finance kabulogu ka pics za harusi ya mpwa goeff!!!
 
Namtakia GEOFF kila la kheri katika maisha mapya ya ndoa..,Mungu awajaalie ndoa yenye furaha, amani na upendo.,awajaalie uzazi wa watoto wazuri wenye akili na hekima ambao nao watakuja kuwa wanaJF kama baba yao..
 
 
Hongereni sana Mr & Mrs. Geof!!
Maisha ya ndoa ni mazuri sana kikubwa ni uaminifu na kupendana na kuheshimiana kujua kila mtu ni nani kwe mwenzie! anayesema maisha ya ndoa ni ndoano si kweli yeye ndio anayependa yawe ndoano siku zote mdomo unaumba...mshirikisheni mungu katika maisha yenu naye mungu aliyewafanya muungane atawapa lolote mnalohitaji...nawatakieni kila la heri katika maisha yenu...Geof usisahau kumsaidia mama akiwa jikoniee sio kazi zote wamwachia yeye....

Pia kuna jambo moja tunapokuwa tunaweka nadhiri zetu za ndoa itabidi jamani kuna baadhi ya vipengele vibadilishwe pale mchungaji au padri anapotuambia tuseme katika shida , katika magonjwa na katika umaskini..... looh it doesn't make sense kwa kweli...haya maneno huwa si sawa wakuu mwasemaje...
 
Am very well my dear...u? how's everything? U in Nai? ile kahawa yetu eti 2010 karibia iishe! LOL

ohh yeah dear, in nai...mhh kuhusu kahawa ndio nakaa mkao icpowe jamani, nilifika lakini kayumba akawa anaumwa homa za hapa na pale, nipo sawa sasa nimemaliza purukushani, tuta arrange dear.
 
Nilituma mchango pia, sikuambiwa kama ulifika au la, sikutumiwa hata kadi bana. Hizi harusi za wabongo bana...! Sichangii tena.....!!!!
calm down bana!,
SAMAKI MMOJA AKIOZA SIO WOTE WAMEOZA MKUU!!!.
 
Hongera sana Geoff, nakutakia yale uliyokuwa unayasema kwenye threads mbalimbali za MMU utayazingatia. Mtunze sana huyo wifi kama mboni ya jicho lako. Ndoa siyo ngumu kihivyo, just make your life as simple as you can, I am sure you will enjoy it. All the best katika hii safari mpya.
 
Wapwaz nilisahau koti la suti pale Usalule nimerudi kulichukua.
 
Unfortunately hakuna mdada wa JF aliyeweza kuhudhuria labda Fidel80 awe alilidaka haitakuwa mbaya sana kama kalishika tutamuoza tuu.

Du! kaazi kweli kweli, ndo kusema wadada wote tuligoma kwenda kumpokea wifi? Aibu. Kaka Geoff utusamehe tu, wifi tunampenda na tunamkaribisha home kwa mikono miwili, tulitingwa tu na majukumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…