Wapwazzzz

''Happy new hr! Ote, happy bday! wai ngakyi, marry xsmas! Mbutana! Ooh happy Valentine! ngasuko ulalu, happy morning! chaa! kundiamba lee, Mwaka mpya mwema''


Nai yoo mbe otaramo cha lanye maka womsia
 
Heri ya mwaka mpya 2010 kwa wadau woooote wa hapa jamvi la urafiki, na wana JF kwa ujumla

Mwaka 2010 uwe wa neema na baraka tele kwenu woote.


Yours sincerely

Triplets 🙂😀
 
Happy New Year to you too
hahahaaaa,
duh, thank God nimeuona mwaka!, ila tofauti na miaka mingine mwaka huu nadhani itabadi nikaombe kazi bruwarizi, maana loh. SISEMI.
 
hahahaaaa,
duh, thank God nimeuona mwaka!, ila tofauti na miaka mingine mwaka huu nadhani itabadi nikaombe kazi bruwarizi, maana loh. SISEMI.

inaelekea mwaka jana wamekuintateini sana hawa jamaa, hebu nenda uangalie na kama watakuwa na vacancy za ziada
 
inaelekea mwaka jana wamekuintateini sana hawa jamaa, hebu nenda uangalie na kama watakuwa na vacancy za ziada
nimeanza mwaka 2010 na hawa jamaa, you know wat i mean???
 
Asante sana mkuu,japo huni name hapo najua nimo katika hizo etc***10
Nakutakia mwaka wenye mafanikio sana katika kila jambo la kheri.
Mungu akubariki.
Happy new year kwa woooooooote pia!!!!!
 
Asante sana mkuu,japo huni name hapo najua nimo katika hizo etc***10
Nakutakia mwaka wenye mafanikio sana katika kila jambo la kheri.
Mungu akubariki.
Happy new year kwa woooooooote pia!!!!!
yap mkuu KISODA2!!,
JF ni familia kuuuuuubwa sana, wote pamo-jah
 
Aksante binamu oh sijui ni mpwa vile

Heri ya mwaka mpya nawe pia.
 
Ha!ha!ha!Haaaaa...mkuu George.....Mungu alituonyesha na hata kuukaribisha mwaka kwa ile mchemsho ya kuku pale Chawote.......that thing isn't joke! Many thanks to you and mzee wa Tuktuku aka homu boi Geoff......! Mwaka huu umeanza vizuri sana kwa kweli!

Cheers!
 
Tunashukuru sana kwa kuuanza mwaka mpya kwa matarajio makubwa sana
 
hahahaaaa, si nchezo.
uliona hoti poti lile limejaa mchemsho wa kufa mtu?.
CHAWOTE IKO JUU SANAAAAAAAAAA!!!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…