STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,076
- 17,247
Kama wewe uko Inlove na mtu, huyu mtu asubuhi
hakutafuti yuko bize, ila ikifika usiku, tena usiku wa
manane sa6 huko ndo anaanza kupiga simu na
maswali ya kipuuzi, eti 'umelala'? Sasa unadhani sa6 ntakuwa nachambua mchicha au?? Utasikia
''nimekumiss amka basi tuongee kidogo KAMA
UNANIPENDA MIMI'',
khah Kama kweli
unampenda ulikuwa wapi kunifind asubuhi
kunisalimu, au mchana kunikaribisha Lunch???Yaani
utumike huko weeee, sa6 usiku ndo unimiss mimi,unaumwa! Siamki!
Haya mahaba ya Vibwengo
siyataki, mapenzi gani ya usiku wa manane,akikupigia
simu mwambie mi sio Kibwengo! Mahaba hadi Cheka
time ya bure? Mwishowe niongelee usingizini uniulize
Password za benki bure nitoe siri maana mazungumzo
ya Usingizini unaweza ukasema visivyosemwa unakumbuka ukiamka!Kama unampenda, mtafute
asubuhi au mchana,mahaba ya
usiku waachie Watoto wa sekondari Siamki Ng'oo!
Kwahisani Ya Watu Wa dubai.
hakutafuti yuko bize, ila ikifika usiku, tena usiku wa
manane sa6 huko ndo anaanza kupiga simu na
maswali ya kipuuzi, eti 'umelala'? Sasa unadhani sa6 ntakuwa nachambua mchicha au?? Utasikia
''nimekumiss amka basi tuongee kidogo KAMA
UNANIPENDA MIMI'',
khah Kama kweli
unampenda ulikuwa wapi kunifind asubuhi
kunisalimu, au mchana kunikaribisha Lunch???Yaani
utumike huko weeee, sa6 usiku ndo unimiss mimi,unaumwa! Siamki!
Haya mahaba ya Vibwengo
siyataki, mapenzi gani ya usiku wa manane,akikupigia
simu mwambie mi sio Kibwengo! Mahaba hadi Cheka
time ya bure? Mwishowe niongelee usingizini uniulize
Password za benki bure nitoe siri maana mazungumzo
ya Usingizini unaweza ukasema visivyosemwa unakumbuka ukiamka!Kama unampenda, mtafute
asubuhi au mchana,mahaba ya
usiku waachie Watoto wa sekondari Siamki Ng'oo!
Kwahisani Ya Watu Wa dubai.