Mmh! Kweli mapenzi hayana formular. wenzako wengi wanasema wakipigiwa simu manane ya usiku wanakuwa na hakika kuwa jamaa hajalala na mchepuko. Ww hutaki unataka upigiwe asubuhi
Hv kama mpenzi wako ni konda, ataongeaje mambo ya mahaba huku akiwa anagombana na abiria mchana kutwa? Ndiyo Wengi Hupendelea Usiku.