Waraka kwa mke wa mtu (ex)

Unashangaa nini? Mbona wake za watu wanafumuliwa tu bila wasiwasi, cha muhimu ni usiri wa hali ya juu. Kwa Mwanza kama mtu unakaa Ilemela ukitaka kumchapa mke wa mtu mpost Magu au Geita huko!

hahaaa haha tutor b bwana
umenikumbusha mbali dah
 

Wengine zile perfume original make them feel good and energetic, lol! hakuna sababu ya kuoga
 
eti eh! maushauri ya nguvu haya,thanks.
 
Bishanga,

Hivi huwa mkifika nyumbani mnakaguliwa/kaguana kabla ya kwenda kuoga,... tena bila kujali kama kuna mtu katoka machinjioni, with potentials of carrying blood taints?

Kama ni hivyo basi endeleeni tu.....Kweli sie tumepitwa na wakati!!


Babu DC!!
 
Nani kakueleza kuwa hitaji lake kuu ni biashara?

Kwani wazazi/ndugu zake hawezi kumfungulia? Why not think beyond that?

Au na wewe unataka kukata kamba kwa sababu security yake aliyokuwa anatumia kuombea mikopo kwako ime-expire?

Babu DC!!
DC bana,maji yashamwagika,sasa what is the best i can for her,angalau ku mitigate kidogo hii hali?
 
Hahahaa utafikiri naangalia bongo movie,but the good thing you are still there for her..mwingine angetokomea kabisa. Bishanga
 
Last edited by a moderator:
sasa ndugu yangu ukifika nyumbani wakati wa kuchojoa unazima taa au unamwambia mwenza afunge macho.
mi naona tunajivuliaga tu na likitokea la kutokea kama hili ndo basi tena.
 
jamani mi nalog off,ngoja niwahi hospitali kumwona mgonjwa.
 
Shikamoo Bishanga lol!
 
Mweeeeeee!
Pole dada!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…