hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.... Sasa wewe tamwa ulienda kufanya nini? Ungekuja kwangu nikupe ushauri...nikiwa na huzuni tele kwa kukatariwa ombi langu na lizzymind "lizzy" sasa nipo kwenye tawi la mti na kamba yangu shingoni tayari kwa kujiua, ila kabla sijajiua nawaomba mkamwambie lizzy maneno yafuatayo. Firstlandy:- mwambie lizzy nampenda sana, rose1980:- mwambie lizzy sikuli kwaajili yake, pearl:- mwambie lizzy nimemkuta rev bar na nyumba ndogo, shosti:- mwambie lizzy nitampa pasword yangu ya jf kuonyesha kuwa nampenda. Husninyo kasikilize lizzy atakwambia nini kabla sijajitundika. Ni mimi nikupendae!!?
LD hujamuelewa tuj amaa?amekata rufaa TAMWA na bado anasikilizia usamaria wa LizzyHaya sasa, kama kakukataa, kwa afya ya uhai wako, akili yako, nafsi yako na uzima wako. Najitokeza mimi badala yake. Unasema je??
Ahh inamaana hujajinyonga tuu:amen:
wakujitundika hawasemagi
Ndo wale wale anakunywa sumu baadae anatoa hela ya maziwa:smile-big::smile-big::smile-big:
LD umepewa ka-chance ka siku 7 kama dose ya antibiotic uponyeshe mtima wake
Nimeenda kumsikiliza lizzy alichoniambia.....!!! Mmmh we acha tu.
Hebu usijinyonge kabla hajakupa rambirambi yako uende nayo.
Sasa sikiliza nikwambie!Humu kuna warembo wakuotea mbali mi siwafikii hata kwa robo ya robo..kajina kangu tu kadogo..Senksi zangu za kuhesabu(senksi ni sawa na kukonyezwa..kusifiwa..na kuimbiwa kitaa)..Avatar ya kuazima kwa pacha wangu..maneno ya kukopi!Embu achana na mimi tafuta mtu wa ukweli..mwenye najua mimi sio saizi yako matokeo yake ni smol haus baadae!Du it fo mi kama unanipenda kweli!Wako daima Lizzy Masa!Nimeteremka mama, hebu ninong'oneze
Hahahahahaha!Uwii na kilio nimlilie aende akijua ntammiss sana!Nimeenda kumsikiliza lizzy alichoniambia.....!!! Mmmh we acha tu.
Hebu usijinyonge kabla hajakupa rambirambi yako uende nayo.
Wacha tu nijitolee, jamani Lizzy najitolea siku saba hizi kumuokoa jamaa. Fanya maamuzi sahihi na mazuri kwa ajili yake tafadhali.