Waraka kwa wadada wa jf

stoooop
kabla hujajinyonga,tupe account namba zako usituachie shida duniani za kulea watoto wako.
 
Ndo wale wale anakunywa sumu baadae anatoa hela ya maziwa:smile-big::smile-big::smile-big:

ahahahahahh....tena anaongeza...kimbieni jamaniiiiiiiiiiiiiiiii...attention seekers...wakujinyonga hapeani warning!
 
mmh sor sikuion hii,lkn duh kazi uliyonipa ni ngum sana kumwambia umemkuta Rev bar?ooops will c wat to say ,shuka basi hapo juu
 
lizzzy mwenzio hakuli kwa ajili yako
mpe nafasi
 
Nilijuwa siku itafika sikujuwa ingekuwa haraka hivi,asante Liz.
 
We acha uchakachuaji!!!Ngoja mchungaji aone!!!:A S 39:
Yes lizzy i love you too. Gbollin noma kakufungulia thread nyingine kule nafasi za kazi mwaka huu unalo mamii hahaha!
 
Yes lizzy i love you too. Gbollin noma kakufungulia thread nyingine kule nafasi za kazi mwaka huu unalo mamii hahaha!
Hhahahah,....ngoja nikaone!!!!Alafu mmmmmm.....unanipenda pia kwani mi nakupenda?:A S 39:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…