Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Hiyo avatar naamini ni wewe asilimia zote. Ila una midomo (lips) nzuri. Hongera Sana. I see!Dada shunie rudisha Avatar saivi watu hawakuoni
Kweli..hadi nimehisi sipo jf leoDada shunie rudisha Avatar saivi watu hawakuoni
HahahahahaaaaaDada shunie rudisha Avatar saivi watu hawakuoni
Kutamani ni jambo moja,kutupia ndoano ni japo jingine,kukubaliwa ni majaliwaOmbi limepokelewa
Tatizo mnamtamani ndo maana nimempiga makufuriii kama sio marufuku
Lilitoka unguja visiwaniShunie tunaomba gauni la Valentine likuje
AiseeeLilitoka unguja visiwani
[emoji124]Ombi limepokelewa
Tatizo mnamtamani ndo maana nimempiga makufuriii kama sio marufuku
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] marhaba nahisi wewe ubuyu uliupokea kutoka kwa shemu mpembaaAiseee
Shkamoo
AiseeeeKwa heshima kubwa kabisa naomba urudishe ile avatar yako ya awali,ile avatar huwa inavutia sana ukiwa unadhurura huku na huko hapa jf,,,kile kigauni chekundu na vilee viguu vya yule dada mtu huchoki kabisa katika matembezi ya humu jamvini,
Naomba ukarudishe hata kwa kuja na fake accnt inayocomment mara kwa mara ili ki avatar kijitokeze kila nipitapo
Asante
Hivi nimekuwa mweusi dogoDada shunie rudisha Avatar saivi watu hawakuoni
Jaman ebu ngoja kwanzaKweli..hadi nimehisi sipo jf leo
Nirudishe tena ya mwanzoOmbi limepokelewa
Tatizo mnamtamani ndo maana nimempiga makufuriii kama sio marufuku
Khaaaaa hata weweHahahahahaaaaa
Hata mimi sasa hivi simuoni kabisa
Hahaha hii ya sasa akijeuka na wasiojulikana sikuhizi walivyo na hasira si watamteka?hazard cfc unatuangusha, hii ya sasa hivi ndio nzuri, mwambie tu ageuke. Kugeuka ni rahisi zaidi kuliko kurudisha ile ya zamani.