Waraka kwako shunie

Kitaa cha jf kimechafuka, watu wanahitaji kuona avator tu, popote ulipo mlengwa ujumbe ukufikie
 
Aiseeee
Mkuu nimechoka kuweka avatar za watu nimeamua kujiweka mwenyewe jaman utaizoea tu na hii taratibu jaman mbona unanipa mtihani mpaka thread
Huogopi kutekwa kwenye new force?[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Aiseeee
Mkuu nimechoka kuweka avatar za watu nimeamua kujiweka mwenyewe jaman utaizoea tu na hii taratibu jaman mbona unanipa mtihani mpaka thread
Sawa lakin hauonekan kabisa saivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…