Alex Fredrick
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 697
- 1,358
Tayari Chama cha Mapinduzi CCM Kwenye Mkutano wake Mkuu Kimempitisha MH Samia Kuwa Mgombea Urais na Dr Nchimbi Kuwa Mgombea Mwenza,Kule Visiwani Zanzibar Dr Hussein Mwinyi
Rai Yangu Kwa Chama cha Mapinduzi na Jopo lake lote ambalo muda si watakaa kuunda Kamati ta Kuandaa Ilani yao
Ushauri wangu wafanye kama walivyofanya Tume ya Kuandaa DIRA ya Taifa
Wao CCM na Kamati hiyo waende kwa Wananchi wote Bara na Visiwani kuchukua maoni kwenye kuanzia Ngazi ya Kitaifa mpaka kitongoji
Wajue Wananchi wanaitaji kiwe kipaumbere chao Ili kupeuka Kuandaa Ilani ambayo haitekelezeki kama ilivyowai kutokea Mwaka 2000 Kwa Mgombea Marehemu Mkapa
Kamari ya Kuandaa Ilani isijifungue peke yao ndani Bali iende kwa Wananchi
Hii itawasadia Wagombea wao wote kwenda kwa Wananchi kuinadi vizuri maana wao Wananchi ndio waliopendekeza
Rai yangu Kwa Wagombea MH Rais Samia, Mgombea Mwenza Dr Nchimbi na Mgombea Urais Visiwani Dr Hussein Mwinyi, Nyie wote mshiriki kikamilifu Kuandaa Ilani hiyo ambayo kwayo nyie ndo mtaenda kuinadi kwa wapiga Kura nchini kote na Visiwani
ILANI ikiwa imechukua maoni ya Umma na nyinyi kuifanyia kazi hasa Utekelezaji Mzuri na kikamilifu hii itapunguza kero kwa Wananchi
ILANI iwe ambayo imependekezwa na Wananchi wenyewe nyie Wagombea jukumu lenu liwe Utekelezaji Tu
Nawasalisha
Alex Fredrick
+255 758 308494
afredrick59@gmail.com
Rai Yangu Kwa Chama cha Mapinduzi na Jopo lake lote ambalo muda si watakaa kuunda Kamati ta Kuandaa Ilani yao
Ushauri wangu wafanye kama walivyofanya Tume ya Kuandaa DIRA ya Taifa
Wao CCM na Kamati hiyo waende kwa Wananchi wote Bara na Visiwani kuchukua maoni kwenye kuanzia Ngazi ya Kitaifa mpaka kitongoji
Wajue Wananchi wanaitaji kiwe kipaumbere chao Ili kupeuka Kuandaa Ilani ambayo haitekelezeki kama ilivyowai kutokea Mwaka 2000 Kwa Mgombea Marehemu Mkapa
Kamari ya Kuandaa Ilani isijifungue peke yao ndani Bali iende kwa Wananchi
Hii itawasadia Wagombea wao wote kwenda kwa Wananchi kuinadi vizuri maana wao Wananchi ndio waliopendekeza
Rai yangu Kwa Wagombea MH Rais Samia, Mgombea Mwenza Dr Nchimbi na Mgombea Urais Visiwani Dr Hussein Mwinyi, Nyie wote mshiriki kikamilifu Kuandaa Ilani hiyo ambayo kwayo nyie ndo mtaenda kuinadi kwa wapiga Kura nchini kote na Visiwani
ILANI ikiwa imechukua maoni ya Umma na nyinyi kuifanyia kazi hasa Utekelezaji Mzuri na kikamilifu hii itapunguza kero kwa Wananchi
ILANI iwe ambayo imependekezwa na Wananchi wenyewe nyie Wagombea jukumu lenu liwe Utekelezaji Tu
Nawasalisha
Alex Fredrick
+255 758 308494
afredrick59@gmail.com