Nasikia kuna waraka mpya wa upandaji wa madaraja ya cheo na mshahara kuwa ni miaka minne badala ya miaka mitatu?. naombeni ufafanuzi wanajamii wenzangu?
Iwe hata baada ya miaka kumi. Watumishi wengi hakuna wanachofanya kazi ni kufukuzia posho kwenye semina, kongamano na udanganyifu mkubwa katika kutafuta fedha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.