Waraka mpya wa upandaji madaraja

Mwidete

New Member
Joined
Jan 2, 2014
Posts
1
Reaction score
0
Nasikia kuna waraka mpya wa upandaji wa madaraja ya cheo na mshahara kuwa ni miaka minne badala ya miaka mitatu?. naombeni ufafanuzi wanajamii wenzangu?
 
Iwe hata baada ya miaka kumi. Watumishi wengi hakuna wanachofanya kazi ni kufukuzia posho kwenye semina, kongamano na udanganyifu mkubwa katika kutafuta fedha.
 
wadau kwani hili jukwaa gani vile isijekuwa nimepotea njia??
 
Karibuy sana JF,watakujibu wajuao............
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…