Elections 2010 Waraka muhimu kwa wapiga kura wa Tanzania

Dark City

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2008
Posts
16,253
Reaction score
11,626
Nimetumiwa waraka huu kwa email kutoka kwa jamaa mmoja anayeishi huko mikoani. Nawabandikia wadau ili muone ushauri wake.
 
ujumbe mzuri ,ila walengwa ambao wote kura zao sawa sidhani kama wako tayari kusoma warak mrefu namna hii kama inawezekana mwenye uwezo make long story short bila ku omit main points
 
Kabisa, umelenga na umegusa nyoyo zetu. Ila mzee maneno mengi mno!
 
Uzalendo wa DR SLAA ni wa maneno zaidi na siyo wa vitendo.Kama ni wa vitendo alichukua hatua gani? mara baada ya kuzungumzia posho za wabunge zipunguzwe.Tulitegemea kwamba SLAA angezikataa zile posho na kulitaka bunge kiasi fulani cha posho zake zielekezwe kwa watanzania masikini.Lakini cha kushangaza aliendelea kuzipokea hizo posho na kuzitafuna yeye na familia yake.Je huo ndio uzalendo wa kweli? wa DR SLAA
 

Ni kwamba huelewi uzalendo wa Dr slaa ? au ni kichwa ngumu cha ufisadi?

Acha upupu.
 
usibishane nae unampa credit; wana paycheck kwa makamba hao; hawana jinsi lazima watoe upupu humu; hao August's and Sept's entries
 
kweli wewe ni bobish.... maana unaonekana hujui kuongoza kimaadili na kuongoza kihuni... collective responsibility ndiyo iliprevail na huwezi hata kama unapinga kitu kazini kikishaamuliwa ukaenda kinyume na wenzako

LABDA UNGESEMA HIVI --- ALIPOKUA AKIZICHUKUA ALITAKIWA AWAPE MASKINI AU AFUNGUE MFUKO WA KUSAIDIA WANAOHITAJI HIZO PESA KWANI KWAKE HAZISWIHI
Bibish you need to go back to school
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…