kwa mtazamo wangu binafsi lowasa anajiandalia mandalizi ya uraisi mwaka 2015.
Muheshimiwa lowasa anapaswa afahamu haya yafuatayo
1. Tunafahamu wanamakubaliano na kikwete atakapo maliza muda wake wa uraisi jmk,itabidi ampe tafu EL kwani yeye pia alimpa tafu.lakini kwa hali halisi EL ajihakikishie maumivu tu kwani mkwere lazima atamtosa.hivyo EL aache kujipendekeza hatopata lolote.
2. EL hakubaliki najamii ya tz kwa sasa,ht ikatakea akapitishwa na ccm 2015 kupeperusha bendera ya uraisi ya ccm,hatopata kitu chochote kwani jina lake ni tukano kwa sasa tz,labda waibe kama walivyofanya sasa,ila nachojua anguko lake litakuwa kubwa kuliko la kikwete.na hata km mkoa wake wa arusha ungekuwa ndio nchi na hakika asingepita.
Ninamuasa EL aache kujilinganisha na dr wa ukweli.nani asiyejua kama wameiba kura za watanzania.ushaihidi upo wazi ht mtoto wa miaka5 anajua hilo km ccm wameiba kura.angalia kigoma mjini shy mjini,karagwe,ngara,kibaha,segerea,ukonga,kilombero. N.k