Necromancer
JF-Expert Member
- Sep 20, 2018
- 3,187
- 3,138
Ndivyo mnavyofundishwa hivyo madrasa?Tulichokiona ni umissionary TU na maslahi yao. Tunafahamu kuwa wakoloni hawakuondaoka Afrika kwakuwa waliokoka na kuikimbia dhambi ya kupora Mali za wengine, bali waligundua njia nyingine ya kupora bila kelele nyingi.
KabisaWakati wa Magufuli hukuona waraka wowote toka TEC? Umejaa huku JF.
Tatizo lenu mnaendeshwa na mahaba ya dini yenu, hamtaki mama yenu aguswe hata akikosea wazi, hilo haliwezekani, sio kwa Tanganyika hii ya leo.
Kama hamtaki aguswe, muondoeni ikulu muende nae Makunduchi halafu muone kama yupo atakayehangaika nae.
Wanadhani watanzania ni mazuzu kiasi Cha kushindwa kuelewa kuwa wapinzani ni waunga juhudi kwaajili ya matumbo Yao? Mnamchagua mpinzani kwa taabu nyingi sana lakini hatimae anarudi tena CCM eti kuunga juhudi na kutupilia mbali juhudi za waliomchagua na kulinda kura zake. Wametuchezea sana akina Mrema, marando, lamwai, tumbili, sumaye lowasa, mwita, mtolea, lipumba, ..............Hii mimi inaenda zaidi ya awamu, nadhani huyu wamemdharau kwa vile ni Mwanamke. Sasa huu Waraka ndiyo Ilani ya CHADEMA sasa kila waendako hata kusiko na bandari kama Meatu na Ngorongoro wanawauliza: je, unakubaliana CCM iuze Bandari zetu kwa Waarabuuuu au unakubaliana na CHADEMA na Maslaakofu kutunza bandari zetu urithi wa watoto wetu? Nyosha mkono nyosha mkono wapiga picha pigeni.
Wanashindwa kuwafanya watu waache dhambi wanadakia hoja za serikali. Waingie kwenye siasa waziwazi ili tuwajue na kuwapima kwa kutumia kipimo sahihi.Mama anachapa kazi kwa manufaa ta taifa. Dua la kuku halimpati mwewe, hawa maaskofu muda wao kuwa kukosa adabu umeisha.
Na watanzania wanajua ni maaskofu mchongo tu wakula hela za madili kama ya escrow na ruzuku za serikali.
Miradi ya serikali inajadiliwa kwenye taasisi zake na bunge ambalo linawakilisha watanzania.
Makanisani, misikitini, hekaluni si mahali pa kujadili miradi ya serikali.
Wanawaibia waumini wao. Labda aseme kichwa kimoja Cha Padre ni sawa na vichwa 700 vya waumini wao wanaume. Yaani mwanaume mzima anauziwa mafuta ya korie eti ya upako!!!
Si unajua aliooishia lakini??Kwahiyo Magufuli alipuuza waraka? Kumbe hauna maana yoyote
Waraka wa TEC uliandikiwa waumini waKatoliki ns ndyo maana unasomwa kanisani. Sirikari haikuandikiwa waraka.Serikali imetwangwa barua Waraka na Maaskofu kupinga mkataba wa bandari. Ingawa Baraza hili haliko kisheria kufanya jambo la nchi kama hilo lakini limefanya hivyo baada ya kujiridhisha kuwa serikali, Bunge na mahakama wametenda kosa kwenye mkataba huu. Waraka kama huu ulionekana tena wakati wa hoja ya kuwepo kwa kadhi Tanzania.
Mimi huwa najiuliza maswali kuhusu nguvu hizi za Maaskofu kwanini hazikutumika kupinga Mwl. Nyerere kuifuta serikali ya Tanganyika, kutaifisha baadhi ya shule zao za kanisa kuwa za serikali, wala kupinga nchi kutaifisha mali za serikali kama nyumba, mashirika ya umma na migodi yetu.
Mbona kama waraka hizi zinatolewa zaidi kwenye awamu fulanifulani TU?
Waumini ni raia, serikali Ina maslahi kwa raia wake kuliko kanisa. Katiba yetu wananchi, watu na raia haina waumini. Tanzania Ina watu 60m na haitaki kujua Kuna waumini wangapi. Tanzania tuna mihimili 3 TU hakuna dini Wala dhehebu na watu wooooote ni Mali ya serikali na wanalindwa na kutunzwa na serikali.Waraka wa TEC uliandikiwa waumini waKatoliki ns ndyo maana unasomwa kanisani. Sirikari haikuandikiwa waraka.
Tangu lini serikali halali ikatishiwa waraka? Katiba yetu hii ya Nyerere ni hatari sana, Rais anaweza kumwangamiza yeyote yule kama itakavyompendeza bila kushitakiwa na yeyote. Katiba hii ilibarikiwa na Maaskofu lakini Sasa wanaishangaa hata wao. Wacha mama nae aitumie kwanza hiihii kuwanyorosha.Mama anachapa kazi kwa manufaa ta taifa. Dua la kuku halimpati mwewe, hawa maaskofu muda wao kuwa kukosa adabu umeisha.
Na watanzania wanajua ni maaskofu mchongo tu wakula hela za madili kama ya escrow na ruzuku za serikali.
Miradi ya serikali inajadiliwa kwenye taasisi zake na bunge ambalo linawakilisha watanzania.
Makanisani, misikitini, hekaluni si mahali pa kujadili miradi ya serikali.
Yaani Katiba ya tangu 1977 iandikwe upya harakaharaka na Samia ili kuwahi uchaguzi wa 2024/25, nyambavu!!! hizi ni bangi. Kwanini hamkumlazimisha Magufuli aiandike harakaharaka kwaajili ya uchaguzi wa 2020? Mnadhani mama ni dhaifu kiasi hicho?Ndivyo mnavyofundishwa hivyo madrasa?
Kibaraka wa nani?Tec ni kibaraka.
Serikali haina dini lakini raia wana dini. Mara ya mwisho nilisikia raia ndio wanamiliki serikari. Inawezekana nilisikia vibaya?Waumini ni raia, serikali Ina maslahi kwa raia wake kuliko kanisa. Katiba yetu wananchi, watu na raia haina waumini. Tanzania Ina watu 60m na haitaki kujua Kuna waumini wangapi. Tanzania tuna mihimili 3 TU hakuna dini Wala dhehebu na watu wooooote ni Mali ya serikali na wanalindwa na kutunzwa na serikali.
Raia sio waumini, tofautisha hapo. Waumini ni kundi la raia wanaolaghaiwa na kutumiwa na genge la wajanja/wezi/akadabla kwa kutumia jina la Mungu kufanikisha mambo Yao. Kwenye hilo genge wamo pia akina kibwetere na wasabato masalia.Serikali haina dini lakini raia wana dini. Mara ya mwisho nilisikia raia ndio wanamiliki serikari. Inawezekana nilisikia vibaya?