Waraka wa maghembe wakataliwa DUCE

Waraka wa maghembe wakataliwa DUCE

Plato

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2010
Posts
420
Reaction score
94
Hali ni mbaya.ule waraka wa waziri wa kubadili katiba za vyuo umekataliwa,wanafunzi wameanzisha vurugu na wajumbe wa kukusanya maoni wamenusurika kipigo.
 
CCM wanataka kuingiza mizizi ktk tasinia ya elimu kwa aina yake.Sasa hatukubali kabisa.Logic ya kubadilisha katiba ipo wapi!
 
Kwani wasomi hawawezi kujadili bila ya vurugu?
 
Back
Top Bottom