Waraka wa Marehemu Chacha Wangwe na Hatma ya Siasa za CHADEMA

Majizi yote yenye taamaa ya madaraka yanasingizia Chadema chama cha ukabila na blabla utadhani wachaga hata wana time na bla bla zao..

Kinachowazuia kujenga CDM wakiwa makamu wenyeviti ni kitu gani...

Hoja za ruzuku ya lak kwa kila jimbo ni kichekesho sana...
 
Ukifika kwa mbowe ukamsengenya lisu unaondoka na pesa, sasa Lisu ni daraja la kula pesa za mbowe, Wajumbe endeleeni kula pesa za bure lakini sanduku la kura ni Siri mtajua mfanye nini
 
Pesa zote za chadema huwa chini ya mbowe hakuna mtu atasogea hapo
 
Pesa yote ipo kwa mbowe peke yake nenda kachukue
 
Kachukue pesa kwa mbowe kwanza maana pesa zote anazo mwenyewe
 
Kosa la heche alionesha nia mapema ya kuwania uenyekiti ndipo Mbowe akamhujumu, tofauti na Lisu ambaye kamshitukiza ghafra kabla hajajipanga
Hata Lisu ajichunge sana, yule mtu siyo poa.

" Chacha Wangwe alipoteza.
"Alphonce Mawazo alipoteza baada ya kuonekana anategemea kwenye falsafa ya Wangwe
 
Kama kifo cha Wangwe ilikuwa mipango binafsi ya watu na sio mapenzi ya Mungu basi walaaniwe sana, wametuondolea mtu makini.

Huu waraka kila sentesi imebeba uzito, huyu alifaa kabisa kuiongoza Chadema. Kuna ukweli na uwajibikaji katika maneno yake, alijaaliwa karama ya kuongoza.

Apumzike kwa amani.
 
Hauchoshi unapousoma. Siyo kama nyaraka za Lucas Mwashambwa, zinachosha kusoma sana na huwa nikisoma title tu basi inatosha.
 
Mbowe alitufaa, lakini kwa hali ya sasa ya ma-ccm kujimilikisha nchi na kupora chaguzi, Tundu Lissu atatufaa zaidi.
 
Pesa ndio nyie mnalilia laki na kutukana makabila hapa...

Kipindi hiki amewakaba mnanyamba tu
Hoyo laki inaweza kulipia pango ofisi ya chama wilayani, acha ujinga, ruzuku ni ya Chama si pesa ya familia ya machame, Pesa igawanywe kuanzia ngazi ya juu mpaka chini ruzuku igharamie Chama siyo vitu vidogo michango kwa wanachama
 
Hoyo laki inaweza kulipia pango ofisi ya chama wilayani, acha ujinga, ruzuku ni ya Chama si pesa ya familia ya machame, Pesa igawanywe kuanzia ngazi ya juu mpaka chini ruzuku igharamie Chama siyo vitu vidogo michango kwa wanachama
Jana 22 mtajua kama Machame ni nchi au ni jina tu...😀
 
Mtafungua hadi na Biblia kabisa ila ni kwamba hatuwezi kuwapa chama watu wa Clubhouse, hiki chama kijengwa kwa gharama kubwa sana za jasho na damu ya watanzania.

Hutaki nenda TLP, ila kwa sasa jadi 2030 Mwenyekiti ni Mh. Alkael Mbowe.
Jenga hoja yako pasipo kukejeli Neno la Mungu (Biblia). Neno la Mungu ndio uhai na maisha ya kila mmoja wetu...

Hakuna ubaya kwa mtu kutoa mawazo yake akitumia reference ya Neno la Mungu ktk namna ya kuonya, kuelekeza au kufundisha

Actually, Neno la Mungu (Biblia) ndiye Mungu mwenyewe. Kumdharau na kumkejeli, ndiko kunakoitwa na maneno ya Mungu "kufuru"

Tupambane sisi kwa sisi kwa namna yetu lakini consequences za kumdharau Roho mtakatifu ni kubwa na Biblia inaonya👇👇👇

Mathayo 12:31-32 BHN

".....Kwa sababu hiyo, nawaambieni, watu watasamehewa dhambi na kufuru zao zote, lakini hawatasamehewa dhambi ya kumkufuru Roho Mtakatifu. Tena, asemaye neno la kumpinga Mwana wa Mtu atasamehewa, lakini yule asemaye neno la kumpinga Roho Mtakatifu, hatasamehewa, wala katika ulimwengu huu, wala katika ulimwengu ujao..."
 
Pesa ndio nyie mnalilia laki na kutukana makabila hapa...

Kipindi hiki amewakaba mnanyamba tu
Hana jipya huyo sultani, awamu hii ni aidha aachie chama au abaki na nyie nyumbu wake.
Miaka mingi tulimuamini kumbe muhuni tu
 
Kweli muda ni mwlaimu,wa haki ,muda ni mwalimu mzuri,muda una uwezo wa kutofautisha kati ya "real" and "fake*
 
Mbowe must go
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…