naunga mkono waraka wowote au mpango wowote wa makundi ya watanzania kujitolea kufundisha watanzania wenzao wajibu wao wa kuchagua viongozi wanaoweza kutegemewa kufanya kazi wanayotumwa na wapiga kura.
Serikali yetu haiwezi kutoa elimu kwa watanzania wote, inabidi wasaidiwe jamani,
natumaini waajiriwa wa serikali wenye jukumu la kuelimisha umma wa wapigakura watakubali kuwa huu ni msaada mkubwa sana, tena bila malipo yoyote,
mimi kama mlipa kodi nashukuru sana madhehebu yaliokitolea, yakatoa sadaka ya waamini wao kuandaa haya maandishi.
Mungu awabariki,
TANZANIA INAAMINI KATIKA MUNGU, ILA HAIFUNGAMANI NA DINI YOYOTE.