WARAKA WA WAZI KWA LADY JAY DEE kUHUSU WIMBO YAHAYA

mwanzisha mada ndo unatufundisha ubaguzi.

ukitaka kubaguliwa kila kitu utachukia..ukiwa mfupi utachukia warefu.
-ukiwa mweupe utachukia weusi.
-ukiwa mwembamba utachukia wanene.
-Ukiwa maskini utachukia matajiri.

Inategemea wewe unataka nini..huwezi kuzuia watu kupenda wanachotaka.
Sioni mantiki ya kuleta mabishano kwa sababu ya mambo ya binafsi,

-Huenda ukitaka unaweza kuacha kusikiliza mkuu wangu, mbona nyimbo ziko nyingi?

:shock:
 
Fa'real mtoa mada 'v jus showd dat u r such an “ass.....et el idiota bandolero!
 
'Masoud amekuwa jambazi,ukikutana nae usiku mpitie mbali' kuna ayejua mistari hii iko kwenye kibao gani?
 
Kaka uzi wangu unajieleza wenyewe, ninazungumzia jamii ya Tanzania na sio huko ulipo kaka

Najua uzi unajieleza kwa mazingira yetu ila ilikuwa ni maoni yangu tu mkuu maana ndivyo tulivyozoea huku though kuna wachache hata kwetu wana majina ya kikristo alafu waislamu na wengine ya kiislamu lakini ni wakristo.
 
Kaka uzi wangu unajieleza wenyewe, ninazungumzia jamii ya Tanzania na sio huko ulipo kaka
<br><br>Najua uzi unajieleza kwa mazingira yetu ila ilikuwa ni maoni yangu tu mkuu maana ndivyo tulivyozoea huku though kuna wachache hata kwetu wana majina ya kikristo alafu waislamu na wengine ya kiislamu lakini ni wakristo.<br>
<br>
 
<br><br>Najua uzi unajieleza kwa mazingira yetu ila ilikuwa ni maoni yangu tu mkuu maana ndivyo tulivyozoea huku though kuna wachache hata kwetu wana majina ya kikristo alafu waislamu na wengine ya kiislamu lakini ni wakristo.<br>
<br>

Nimekusoma kaka, tz udini umeanza kuota mizizi. Serikali ya JK inaboronga watu wakihoji , wanajitokeza watu wengine wanasema mnasakama JK kwa sababu ni muislamu and all that! unadhani watu wenye mawazo kama haya watashindwa kuusakama hu wimbo? Anyways, lets adopt a wait and see attitude
 
Hujauelewa uzi wangu , u doesnt make any sense to me
 
 
Kweli kabisa mwanzisha mada ana lake jambo:
Jina la mtu halitambulishi dini yake 'automatically'..mbona tuna Majina kama Agustino Ramadhani, Shaaban Robert, Edna Rajab...si jambo la hekima wala akili kufikiri jina la mtu linataja dini yake..labda kama kuna kingine mkuu mwanzisha mada unataka..kama vipi mods fungieni huu uzi kwa au mpeni 'ban' huyo mwanzisha mada maana mjadala hauna faida.
 
Nijuavyo mim jina halisi la kiisilam ni Yahya na sio Yahaya, kama nimekosea nisahihishwe!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…