Waraka wa wazi na yakinifu kwa msanii izo bizness

Waraka wa wazi na yakinifu kwa msanii izo bizness

Yusuph Issa

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2013
Posts
528
Reaction score
82
habari wana jamvi ni matumaini yangu wote wazima na mnaendelea vizuri na mapumziko weekend hii,nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa tasnia ya muziki wa hip hop na bongo fleva kwa kipindi kirefu na mengi yametokea kama nyimbo nzuri,wasanii wakali na makundi makali ya muziki but wanajamvi kuna huyu msanii known as izo biznes but siku baada ya siku amekua ananichosha na uandishi wa mistari yake haina vina wala mizani zaidi ya kumuona na majinsi mapana ya kuazima na raba za kichina katika video zake kusema kweli wapenzi wa muziki tunataka mziki mzuri na sio mistari ya kuunga unga ya rapper huyu toka mbeya nawasilisha!!!!!!!!!!
 
Naongea na Riziwani, Ouuk we Riziwani..

Huyu jembe, muache kama alivo.
 
habari wana jamvi ni matumaini yangu wote wazima na mnaendelea vizuri na mapumziko weekend hii,nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa tasnia ya muziki wa hip hop na bongo fleva kwa kipindi kirefu na mengi yametokea kama nyimbo nzuri,wasanii wakali na makundi makali ya muziki but wanajamvi kuna huyu msanii known as izo biznes but siku baada ya siku amekua ananichosha na uandishi wa mistari yake haina vina wala mizani zaidi ya kumuona na majinsi mapana ya kuazima na raba za kichina katika video zake kusema kweli wapenzi wa muziki tunataka mziki mzuri na sio mistari ya kuunga unga ya rapper huyu toka mbeya nawasilisha!!!!!!!!!!

ni rapper yupi unamkubali wewe bongo?
 
we ni hater huna hoja... piga kimya watu wafanye business.... hujui muziki wewe mbona jamaa aba vina vya kutosha tu
 
we ni hater huna hoja... piga kimya watu wafanye business.... hujui muziki wewe mbona jamaa aba vina vya kutosha tu

funguka wambuzi vina gani anavyo mshkaji kama unataka kuthibitisha sikiliza ngoma yake aliyowashirikisha shaa na barnaba kiukweli nothing special!!!
 
habari wana jamvi ni matumaini yangu wote wazima na mnaendelea vizuri na mapumziko weekend hii,nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa tasnia ya muziki wa hip hop na bongo fleva kwa kipindi kirefu na mengi yametokea kama nyimbo nzuri,wasanii wakali na makundi makali ya muziki but wanajamvi kuna huyu msanii known as izo biznes but siku baada ya siku amekua ananichosha na uandishi wa mistari yake haina vina wala mizani zaidi ya kumuona na majinsi mapana ya kuazima na raba za kichina katika video zake kusema kweli wapenzi wa muziki tunataka mziki mzuri na sio mistari ya kuunga unga ya rapper huyu toka mbeya nawasilisha!!!!!!!!!!

Hahahah ukiona hivi ujue demu wako anamkubali mshkaji au anamkata demu wako si bure wivu utakuuwa wedogo.....mombasa watu kama nyie mnawekwa nani
 
Hahahah ukiona hivi ujue demu wako anamkubali mshkaji au anamkata demu wako si bure wivu utakuuwa wedogo.....mombasa watu kama nyie mnawekwa nani

siwezi kushare demu na izo coz mshkaji yuko dar while mimi niko green city uko wrong kaka!!!
 
Back
Top Bottom