"who are your" utumbo huo unatosha kuonyesha kabisa uwezo wako duni wa Akili, Kama kuandika lugha kwa ufasaha imekuwa mtihani mgumu utaweza kuelewa nondo zilizojaa hoja kweli?By the way who are your? Wewe ni jizi la CCM utashauri Nini kuhusu chadema? F.u.c.k.i.ng
Washauri warundi na wahutu wenzio uko CCM .
Ndugu zangu Viongozi na wanachama wote wa CDM bila kupoteza Muda naomba niwape ujumbe wangu huu kwa leo;
"Ni dhahili na ukweli usiopingika kuwa idadi ya Watanzania ambao wamekuwa wakijitokeza kwenye kampeni za CDM Ni ndogo mno ukilinganisha na matarajio yaliyokuwepo, Mfano hakuna alietegemea Kama kwenye ufunguzi wa kampeni pale Mbagala kutakuwa na idadi ndogo vile ya Wananchi utafikiri kampeni za mbunge au udiwani wakati Ni ufunguzi wa kampeni za Chama Tena chini ya mgombea urais kabisa, pia hata Jana pale kawe hiyo idadi ilikuwa ndogo Sana ukilinganisha na idadi ya kawe wakati wa Lowassa ".
JE NIWAPI MNAKOSEA HADI MNAKOSA WATU? JIBU HILI HAPA;
"DSM Ni jiji lenye mishemishe nyingi na watu wake Ni wenye mishemishe nyingi, hivyo usipopanga Ratiba zako vizuri kwa kuangalia na Ratiba zingine zinazoendelea ndani ya jiji Hilo Basi tegemea kujikuta upo mwenye tu katika hiyo Ratiba yako"
Hivyo Basi kosa kubwa walilolifanya waratibu kampeni za CDM walishindwa kupanga Ratiba za kampeni kwa kuendana na Ratiba za matukio muhimu yanayoendelea DSM, na hizi ndo hesabu za Ratiba zilizowachenga;
1. Ufunguzi wa kampeni siku ya ijumaa; Ndg zangu CDM mnatambua kabisa siku ya ijumaa huwa Kuna Ibada ya ijumaa ambayo Watoto, wanawake na wanaume huenda kuswalia msikitini kwa pamoja, na Mbagala Ni sehemu iliyo na waisilam wengi hivyo haikuwa rahisi watu wasitishe shughuli Yao mhimu ya kwenda kuswali kisa kwenda kuwasikiliza wanasiasa.
2. Kuendelea kwa kampeni Jana Kawe; waratibu kampeni za CDM walishindwa kuoanisha tukio kubwa lililokuwa linatokea Jana na tukio lao. Niukweli usiopingika kuwa, Ufunguzi wa kampeni za CCM Jana ulikuwa ukifuatiliwa na Watanzania wengi Sana waliokuwepo Dodoma na ambao hawakuwepo Kupitia mitandao na vyombo vya habari Kama TV, na hii nikutana na uzito wa chama hicho pia kuwa na wanachama wazito na wenye ushawishi katika jamii pia uwepo wa wasanii Wakubwa Tanzania Kama diamond, Konde boy , Alikiba, Nandy na n.k kuliongeza idadi ya Watanzania wengi wasing'atuke kwenye tv zao. Hivyo Basi kwa maelezo hayo Wakazi wengi wa dar es salam waliungana na Watanzania wenzao kutoka mikoa mingine kufuatilia kilichokuwa kinaendelea pale Dodoma katika viwanja vya Jamuhuri na kujikuta wamekosa muda wa kuja kawe kwenye kampeni zenu. (Ikumbukwe Kuna baadhi ya wasanii waliokuwepo Jana Wana wafuasi wengi na mashabiki wao wengi kuliko hata baadhi ya wafuasi wa vyama baadhi hapa nchini).
3. Mkutano wa leo Segerea; CDM na Leo tegemeeni kabisa mkutano wenu kukosa mvuto kwasababu ya idadi ndogo ya watu itakayokuwepo. Kwanini nasema hivi?
Leo katika uwanja wa Dodoma Kuna tukio la kuazimisha "SIKU YA TIMU YA WANANCHI (Yanga sc)" hili Ni tukio kubwa Sana na lenye mvuto wake kwa jiji la Dar na Tanzania kwa ujumla, hivyo Basi wakazi wa DSM zaidi ya elfu60 watakuwa uwanja wa Taifa kuazimisha siku hiyo na Maelfu kwa Maelfu ya Watanzania watakuwa busy kufuatilia tukio Hilo mitandaoni na kwenye runinga.
PILI; Leo huko Arusha Kuna mapambano mkali unaotarajiwa kulindima mnamo majila ya 9;30 alasiri Kati ya Simba na Namungo, Ikumbukwe hii Ni mechi mhimu Sana na yenye kuvuta attention za Watanzania wengi, hivyo watu watakuwa busy kufuatilia kinachojili katika hii mechi kuliko kuja au kufuatilia tukio la kisiasa. Mpaka hapo tunaona kabisa Simba na Yanga tu kwa leo inaenda kuteka Maelfu kwa Maelfu ya Watanzania kufuatilia Nini kinajili katika viwanja waliopo.
Finally; kwa maelezo hayo Ni dhahili kabisa kwa Siku tatu zote za kampeni mlizotumia Dar Naweza kusema mmepoteza pakubwa kuliko mlivyotegemea kupata, na hii imesababishwa na mpangilio mbovu wa ratiba za kampeni zenu.
Naipongeza Kamati ya kuratibu kampeni za CCM kwa kupanga Ratiba zao kwa kuoanisha na matukio mhimu mengine yanayotokea nchini. Siku ya Jana Tanzania hapakuwa na tukio kubwa la kuwafanya watu wasifuatilie uzinduzi wa kampen zao (³CCM) badala yake kampeni hiyo ndo ilikuwa tukio kubwa kwa Watanzania wengi, lakini kama CCM wangeweka siku ya ufunguzi wa kampeni zao kuwa leo Basi Ni dhahili wangepunguza idadi ya watu wengi Sana kuwafuatilia kutokana na matukio mhimu na yenye mvuto kwa Watanzania wengi yanayoendelea Leo Kama vile; Kusali, Siku ya Wananchi kwa Mkapa stadium na Fainal ya Ngao ya jamii Kati Simba sc na Namungo fc.
Mwisho; Najua tayari menejimenti inayoratibu kampeni za CDM ishachelewa kuleta ushawishi na shamlashamla za kampeni kwa jiji la Dar Basi naomba makosa mliyoyafanya ya kiratiba yasijirudie Tena huko mnakotarajia kwenda hasa kwenye majiji makubwa, Msiwaone CCM leo kuwa kimya angali Jana wamefungua kampeni wanajua leo Watanzania watakuwa busy kufuatilia Mambo ya Simba na Yanga hivyo wakiendesha mkutano hawatafuatiliwa na watu wengi. Nyie Hilo hamulioni nyie nikwenda tu matokeo yake mnaishia kuaibika kwa Kugeuza mkutano wa mgombea urais wenu kuonekana Kama mkutano wa Wagombea udiwani au mkutano wa vyama Kama SAU na CHAUMA.
#Wananchi wote Tukutane kwa Mkapa hapo baadae tuna letu Jambo pale.
#Wa Simba na Namungo Tukutane Kwenye Viunga vya Arusha tuna letu Jambo pale mtoto hatumwi dukani.
#Wakristo Tukutane Kwenye maombi ya jioni baada ya Ibada ya sasahivi tuna letu Jambo la baraka pale.
Ahsanteni muwe na J.pili njema,.
View attachment 1552755View attachment 1552757
Mkuu Hawa watu wanafeli Kila siku Maana wanafikiri kupeleka Mambo kwa kufokafoka na kulialia ndo njia pekee. Huwa hawajipi muda wa kutafakari kwa kina kabla ya kuchukua maamuzi.Duh...!.
Sijui kama watasikia au wakisikia
sijui kama wataelewa, na wakielewa
sijui kama watafuata ushauri
CHADEMA ni sikio la kufa? Iambiwe vipi ili isikie? Masha ana hoja za msingi, zisikilizwe, zizingatiwe, zisipuuzwe!
CHADEMA msipuuzie ushauri hata kama ni kutoka kwa shetani!, S'times the devils does good deeds!.
Ushauri kwa CHADEMA: Japo ni Haki, lakini chondechonde Msiandamane. Mwenye Nguvu Mpishe!.
Ushauri wa Bure kwa CHADEMA: Heri Nusu Shari Kuliko Shari Kamili! - Kuepusha Shari, Kubalini Kosa!
P
Point kubwa hapo siyo picha Bali upangaji wa ratiba za kampeni usioangalia uwepo wa matukio Mengine makubwa yanayovuta attention za watu.
Mkuu hapa hoja siyo wasanii, hoja Ni hii hapa;"Applying old formulas to new world problems doesn’t add up. If you’re using a hammer when the job requires a screwdriver, you’re going to face troubled times ahead."
CCM imetumia mbinu ya kizamani za kuwanunua wasanii ili mikutano yao ipate watu wengi na viewers wengi zaidi haitowaondolea wao kipigo tar 25. Je wanahakika hao wote ni wapiga kura?!?! Cdm inatumia siasa ya namba. Siasa ya number never lie
Iweke ya saa 11 jioni tuione Mkuu!Umetumia picha ya saa 4 asbh mkuu. Tafuta picha ya saa 11 jioni.
Inasikitisha Sana mkuu kuona watu wenye Akili zao timamu wakishindwa kuelewa Mambo madogo madogo Kama hayo.Viewers 3700 si wengi ukizingatia mkutano ulikuwa live kwa streaming moja tu hiyo, mkutano wa CCM ukienda kuangalia TV views zinaweza fika hata 1m, kufurahia kupata 3700 sawa na tukio la Msanii wa kawaida kama Rommy Jons kufungua album yake ni ushamba haswaa.
Na nikuhahakishie kati ya hizo views 3700zaidi ya nusu ni watu wa serikalini ambao ni kazi yao kuchukua na kujua nini kinaendelea huko, endeleeni kujimwambafy wakati hali ni mbaya.
Soma tena nilichokiandika ili unielewe vizuri,Sijui kama ni kweli unaitakia CHADEMA mema. CHADEMA wameigawa Dar x3 - Kawe, Mbagala na Segerea. Kwa akili yako hiyo ndogo, unategemea watu wajae kama mtu mwenye mkutano mmoja tu katika nchi nzima halafu watu wanasombwa kutoka sehemu mbalimbali? Halafu ukiogopa matukio ya watu wengine, lini utafanya kampeni? Kila siku ina matukio. Ijumaa watu wanaenda misikitini, Jumamosi na Jumapili - makanisani. J'2 hadi Ijumaa, makazini. Unajiona wewe mchambuzi sana kumbe pumba tu.
Soma tena nilichokiandika ili unielewe vizuri,
Achana na ijumaa n juma mosi, maana zishapita jikite kwenye matukio mhimu ya Leo ambayo huwa yanatabia za kuvuta watu wengi Zaid kuliko matukio mengine Yale;
Mfano; Leo zaidi ya wakazi wa DSM 60k watakuwa uwanja wa Mkapa kutazama kilele Cha wiki ya timu ya wananchi, plus wale watakaobaki kwenye mabanda umiza plus watakaobaki nyumban kufuatilia kwenye tv. Utajikuta zaidi ya 2/3 ya watu waliotakiwa kuja kwenye huo mkutano umewakosa.
Huko Arusha jiji Napo litakuwa linazizima mechi Kali ya Simba na Namungo(Ngao ya jamii) hivyo idadi kubwa ya watu wa Arusha watakuwa busy kufuatilia tukio Hilo.
Mikoani ndo usiseme habari ya leo huko Ni Yanga na Simba tu, Watu Leo wako busy kufuatilia Carlihnos na Bwarya wanafanya Nini leo uwanjani kuliko kufuatilia lissu anaongea Nini leo pale Segerea.
Usiwaone CCM wamesitisha shughuli zao Leo z kampeni ukawaona Kama hawana Akili Wanawajua vizuri Watanzania Ni watu wa burudani hasa siku hizi za weekend na wanazijua vizuri nguvu za Simba na Yanga kwa wananchi.
Endeleeni kukaza mafuvu Sasa mtaishia kuaibika kila siku na kupoteza mvuto kwa wananchi kwa kushindwa kuzingatia Mambo madogomadogo tu ya kimukakati Kama haya.
Sijui kama ni kweli unaitakia CHADEMA mema. CHADEMA wameigawa Dar x3 - Kawe, Mbagala na Segerea. Kwa akili yako hiyo ndogo, unategemea watu wajae kama mtu mwenye mkutano mmoja tu katika nchi nzima halafu watu wanasombwa kutoka sehemu mbalimbali? Halafu ukiogopa matukio ya watu wengine, lini utafanya kampeni? Kila siku ina matukio. Ijumaa watu wanaenda misikitini, Jumamosi na Jumapili - makanisani. J'2 hadi Ijumaa, makazini. Unajiona wewe mchambuzi sana kumbe pumba tu.
Kwa hiyo watanzania wengi Ni wapumbavu? Au Wamekata taamaa ya maisha, wanajiliwaza kwa mpira?Tatizo unaelewa content nusunusu,, Hapo umejikita kwenye point moja..
Vipi kuhusu matukio ya Leo ya Simba na Yanga yanayoendelea.
Je unajua Kama tukio la Yanga pekee Leo litameza watu Zaid ya elfu60 ambao wengi Ni wakazi wa jiji la Dar hao niwale watakaoenda kwa Mkapa uwanjwani Achana na wale watakaokuwa kwenye mabanda umiza na personal TV.
Je wajua Tanzania nzima Leo wananchi wengi watakuwa busy kufuatilia mechi za Simba na Yanga kuliko mikutano yeyote ya kisiasa?
Jifunze kusoma nyakati kabla hujapanga kitu.
Amri toka juu imekataza vyombo vyote vya Hari kuonyesha habari za CDM, magazeti yote yamefingiwa, hata done nazo zimedhibitiwa,Inasikitisha Sana mkuu kuona watu wenye Akili zao timamu wakishindwa kuelewa Mambo madogo madogo Kama hayo.
Hapo naishauri CDM isitake kushindana na vyombo vyote vya habari kwa kiburi chakusema tuna online tv yetu ndo itakuwa inaratibu mikutano yetu.
Vitu ambavyo inatakiwa wavijue ndugu zangu CDM nikuwa;
"Ni Watanzania Wachache Sana wenye uwezo wa kustreeam YouTube"
"Live streaming ya YouTube Ina challenges nyingi Sana Kama vile pesa ya bando na ubora wa chini wa internet network hasa vijiijin"
"Channel ya chadema bado Ni chenel ndogo Sana na yenye subscribers Wachache Sana hivyo ipo kwa ajili ya kuwafikia watu Wachache tu".
Duh, CCM ni wahutu na warundi?! Hii ndio level yako?By the way who are your? Wewe ni jizi la CCM utashauri Nini kuhusu chadema? F.u.c.k.i.ng
Washauri warundi na wahutu wenzio uko CCM .
rais hataki kutazama taarifa ya habari akakuta Lissu anaonyeshwa anaweza kupata stroke.Amri toka juu imekataza vyombo vyote vya Hari kuonyesha habari za CDM, magazeti yote yamefingiwa, hata done nazo zimedhibitiwa,
sijui unapoandika huu ujinga unamaanisha Nini?
Lissu ni mgombea udiwani tu huyo!! Nafikiri sasa atakuwa ameshawajua Watz vizuri na bado tarehe 28/10/2020 mkae naye karibu siku hiyo asije akanywa sumu akafa halafu wanasaccos wasiingizie CCM Chama Dume!Ndugu zangu Viongozi na wanachama wote wa CDM bila kupoteza Muda naomba niwape ujumbe wangu huu kwa leo;
"Ni dhahili na ukweli usiopingika kuwa idadi ya Watanzania ambao wamekuwa wakijitokeza kwenye kampeni za CDM Ni ndogo mno ukilinganisha na matarajio yaliyokuwepo, Mfano hakuna alietegemea Kama kwenye ufunguzi wa kampeni pale Mbagala kutakuwa na idadi ndogo vile ya Wananchi utafikiri kampeni za mbunge au udiwani wakati Ni ufunguzi wa kampeni za Chama Tena chini ya mgombea urais kabisa, pia hata Jana pale kawe hiyo idadi ilikuwa ndogo Sana ukilinganisha na idadi ya kawe wakati wa Lowassa ".
JE NIWAPI MNAKOSEA HADI MNAKOSA WATU? JIBU HILI HAPA;
"DSM Ni jiji lenye mishemishe nyingi na watu wake Ni wenye mishemishe nyingi, hivyo usipopanga Ratiba zako vizuri kwa kuangalia na Ratiba zingine zinazoendelea ndani ya jiji Hilo Basi tegemea kujikuta upo mwenye tu katika hiyo Ratiba yako"
Hivyo Basi kosa kubwa walilolifanya waratibu kampeni za CDM walishindwa kupanga Ratiba za kampeni kwa kuendana na Ratiba za matukio muhimu yanayoendelea DSM, na hizi ndo hesabu za Ratiba zilizowachenga;
1. Ufunguzi wa kampeni siku ya ijumaa; Ndg zangu CDM mnatambua kabisa siku ya ijumaa huwa Kuna Ibada ya ijumaa ambayo Watoto, wanawake na wanaume huenda kuswalia msikitini kwa pamoja, na Mbagala Ni sehemu iliyo na waisilam wengi hivyo haikuwa rahisi watu wasitishe shughuli Yao mhimu ya kwenda kuswali kisa kwenda kuwasikiliza wanasiasa.
2. Kuendelea kwa kampeni Jana Kawe; waratibu kampeni za CDM walishindwa kuoanisha tukio kubwa lililokuwa linatokea Jana na tukio lao. Niukweli usiopingika kuwa, Ufunguzi wa kampeni za CCM Jana ulikuwa ukifuatiliwa na Watanzania wengi Sana waliokuwepo Dodoma na ambao hawakuwepo Kupitia mitandao na vyombo vya habari Kama TV, na hii nikutana na uzito wa chama hicho pia kuwa na wanachama wazito na wenye ushawishi katika jamii pia uwepo wa wasanii Wakubwa Tanzania Kama diamond, Konde boy , Alikiba, Nandy na n.k kuliongeza idadi ya Watanzania wengi wasing'atuke kwenye tv zao.
Hivyo Basi kwa maelezo hayo Wakazi wengi wa dar es salam waliungana na Watanzania wenzao kutoka mikoa mingine kufuatilia kilichokuwa kinaendelea pale Dodoma katika viwanja vya Jamuhuri na kujikuta wamekosa muda wa kuja kawe kwenye kampeni zenu. (Ikumbukwe Kuna baadhi ya wasanii waliokuwepo Jana Wana wafuasi wengi na mashabiki wao wengi kuliko hata baadhi ya wafuasi wa vyama baadhi hapa nchini).
3. Mkutano wa leo Segerea; CDM na Leo tegemeeni kabisa mkutano wenu kukosa mvuto kwasababu ya idadi ndogo ya watu itakayokuwepo. Kwanini nasema hivi?
Leo katika uwanja wa Dodoma Kuna tukio la kuazimisha "SIKU YA TIMU YA WANANCHI (Yanga sc)" hili Ni tukio kubwa Sana na lenye mvuto wake kwa jiji la Dar na Tanzania kwa ujumla, hivyo Basi wakazi wa DSM zaidi ya elfu60 watakuwa uwanja wa Taifa kuazimisha siku hiyo na Maelfu kwa Maelfu ya Watanzania watakuwa busy kufuatilia tukio Hilo mitandaoni na kwenye runinga.
PILI; Leo huko Arusha Kuna mapambano mkali unaotarajiwa kulindima mnamo majila ya 9;30 alasiri Kati ya Simba na Namungo, Ikumbukwe hii Ni mechi mhimu Sana na yenye kuvuta attention za Watanzania wengi, hivyo watu watakuwa busy kufuatilia kinachojili katika hii mechi kuliko kuja au kufuatilia tukio la kisiasa. Mpaka hapo tunaona kabisa Simba na Yanga tu kwa leo inaenda kuteka Maelfu kwa Maelfu ya Watanzania kufuatilia Nini kinajili katika viwanja waliopo.
Finally; kwa maelezo hayo Ni dhahili kabisa kwa Siku tatu zote za kampeni mlizotumia Dar Naweza kusema mmepoteza pakubwa kuliko mlivyotegemea kupata, na hii imesababishwa na mpangilio mbovu wa ratiba za kampeni zenu.
Naipongeza Kamati ya kuratibu kampeni za CCM kwa kupanga Ratiba zao kwa kuoanisha na matukio mhimu mengine yanayotokea nchini. Siku ya Jana Tanzania hapakuwa na tukio kubwa la kuwafanya watu wasifuatilie uzinduzi wa kampen zao (³CCM) badala yake kampeni hiyo ndo ilikuwa tukio kubwa kwa Watanzania wengi, lakini kama CCM wangeweka siku ya ufunguzi wa kampeni zao kuwa leo Basi Ni dhahili wangepunguza idadi ya watu wengi Sana kuwafuatilia kutokana na matukio mhimu na yenye mvuto kwa Watanzania wengi yanayoendelea Leo Kama vile; Kusali, Siku ya Wananchi kwa Mkapa stadium na Fainal ya Ngao ya jamii Kati Simba sc na Namungo fc.
Mwisho; Najua tayari menejimenti inayoratibu kampeni za CDM ishachelewa kuleta ushawishi na shamlashamla za kampeni kwa jiji la Dar Basi naomba makosa mliyoyafanya ya kiratiba yasijirudie Tena huko mnakotarajia kwenda hasa kwenye majiji makubwa, Msiwaone CCM leo kuwa kimya angali Jana wamefungua kampeni wanajua leo Watanzania watakuwa busy kufuatilia Mambo ya Simba na Yanga hivyo wakiendesha mkutano hawatafuatiliwa na watu wengi. Nyie Hilo hamulioni nyie nikwenda tu matokeo yake mnaishia kuaibika kwa Kugeuza mkutano wa mgombea urais wenu kuonekana Kama mkutano wa Wagombea udiwani au mkutano wa vyama Kama SAU na CHAUMA.
#Wananchi wote Tukutane kwa Mkapa hapo baadae tuna letu Jambo pale.
#Wa Simba na Namungo Tukutane Kwenye Viunga vya Arusha tuna letu Jambo pale mtoto hatumwi dukani.
#Wakristo Tukutane Kwenye maombi ya jioni baada ya Ibada ya sasahivi tuna letu Jambo la baraka pale.
Ahsanteni muwe na J.pili njema,.
View attachment 1552755View attachment 1552757
Mwenyekiti Faru John aliwafukuza TBC1 sasa wewe unasemaje Amri toka juu? Au una maana Faru John??!!Amri toka juu imekataza vyombo vyote vya Hari kuonyesha habari za CDM, magazeti yote yamefingiwa, hata done nazo zimedhibitiwa,
sijui unapoandika huu ujinga unamaanisha Nini?