Uchaguzi 2020 Waraka wangu kwa CHADEMA kuhusu kampeni

By the way who are your? Wewe ni jizi la CCM utashauri Nini kuhusu chadema? F.u.c.k.i.ng


Washauri warundi na wahutu wenzio uko CCM .
"who are your" utumbo huo unatosha kuonyesha kabisa uwezo wako duni wa Akili, Kama kuandika lugha kwa ufasaha imekuwa mtihani mgumu utaweza kuelewa nondo zilizojaa hoja kweli?

Back to school bibie.
 
Sijui kama ni kweli unaitakia CHADEMA mema. CHADEMA wameigawa Dar x3 - Kawe, Mbagala na Segerea. Kwa akili yako hiyo ndogo, unategemea watu wajae kama mtu mwenye mkutano mmoja tu katika nchi nzima halafu watu wanasombwa kutoka sehemu mbalimbali? Halafu ukiogopa matukio ya watu wengine, lini utafanya kampeni? Kila siku ina matukio. Ijumaa watu wanaenda misikitini, Jumamosi na Jumapili - makanisani. J'2 hadi Ijumaa, makazini. Unajiona wewe mchambuzi sana kumbe pumba tu.
 
Mkuu Hawa watu wanafeli Kila siku Maana wanafikiri kupeleka Mambo kwa kufokafoka na kulialia ndo njia pekee. Huwa hawajipi muda wa kutafakari kwa kina kabla ya kuchukua maamuzi.

Mfano; kilichotokea siku ya ufunguzi wa kampeni pale Mbagala Ni dhahili hata wao hawakukitegemea na ndo Maana Walijikuta wamejawa na hasira zisizokuwa na sababu nakuanza kufoka na kutukana hovyo Kila ambae alikuwa akipata Nafasi ya kuongea kwenye maiki.

Hasira zikawapeleka mbali zaidi mpaka wakaanza kuhamasisha maandamano ya wananchi na wakaahidi kwamba Kila mkutano wao watakuwa wakianza kwa maandamano.
Tujiulize TU swali dogo Hapa, Kama kweli walichokuwa wanakizungumuza siku hiyo hakikusababishwa na hasira za kijinga tu kwanini mkutano wa Jana hawakuanza kwa maandamano?
Je nikweli haki Yao waliyokuwa wanadai wameshaipata?

Naunga mkono hoja yako ya "Ama kweli sikio la kufa halisikii dawa".
 
That's why you will always lose votes...
 
Point kubwa hapo siyo picha Bali upangaji wa ratiba za kampeni usioangalia uwepo wa matukio Mengine makubwa yanayovuta attention za watu.

Nimeamini ccm mmekata pumzi, mwanzo ilikuwa mnasema watu sio muhimu, cha muhimu ni kuwa mtawafanyia nini wananchi. Jana cdm wamesema na ccm wamesema. Tumeoanisha ilani tumeona ipo ni ya watu na ipi ni ya vitu. Saa hii mmeona kwenye ilani hakuwalipi bali mnajadili watu, tena mjadala wenyewe unajikita kwenye ulinganifu wa Cdm ya 2015 kukiwa na demokrasia ya kuridhisha, na hii demokrasia ya udictator ya 2020!
 
Mkuu hapa hoja siyo wasanii, hoja Ni hii hapa;

Kwanini Chadema wanapanga Ratiba zao za mikutano ya kampeni pasipo kufanya utafiti wa kina juu ya siku husika.
Mfano; Mkutano wa leo wa Segerea tegemea kabisa kupata mvuto mdogo kutoka kwa wana dsm kutokana na uwepo wa tukio la Siku ya timu ya wananchi leo kwenye uwanja wa Mkapa.
Pia kuwepo kwa mechi ya Ngao ya jamii Kati ya Simba na Namungo huko Arusha.

Menejimenti ya CCM inalitambua Hilo na ndo Maana leo haijaendelea na kampeni zake ili kupisha kwanza matukuio haya ambayo huwa yanateka Watanzania wengi Sana.
 
Inasikitisha Sana mkuu kuona watu wenye Akili zao timamu wakishindwa kuelewa Mambo madogo madogo Kama hayo.

Hapo naishauri CDM isitake kushindana na vyombo vyote vya habari kwa kiburi chakusema tuna online tv yetu ndo itakuwa inaratibu mikutano yetu.
Vitu ambavyo inatakiwa wavijue ndugu zangu CDM nikuwa;
"Ni Watanzania Wachache Sana wenye uwezo wa kustreeam YouTube"
"Live streaming ya YouTube Ina challenges nyingi Sana Kama vile pesa ya bando na ubora wa chini wa internet network hasa vijiijin"
"Channel ya chadema bado Ni chenel ndogo Sana na yenye subscribers Wachache Sana hivyo ipo kwa ajili ya kuwafikia watu Wachache tu".
 
Soma tena nilichokiandika ili unielewe vizuri,

Achana na ijumaa n juma mosi, maana zishapita jikite kwenye matukio mhimu ya Leo ambayo huwa yanatabia za kuvuta watu wengi Zaid kuliko matukio mengine Yale;
Mfano; Leo zaidi ya wakazi wa DSM 60k watakuwa uwanja wa Mkapa kutazama kilele Cha wiki ya timu ya wananchi, plus wale watakaobaki kwenye mabanda umiza plus watakaobaki nyumban kufuatilia kwenye tv. Utajikuta zaidi ya 2/3 ya watu waliotakiwa kuja kwenye huo mkutano umewakosa.

Huko Arusha jiji Napo litakuwa linazizima mechi Kali ya Simba na Namungo(Ngao ya jamii) hivyo idadi kubwa ya watu wa Arusha watakuwa busy kufuatilia tukio Hilo.

Mikoani ndo usiseme habari ya leo huko Ni Yanga na Simba tu, Watu Leo wako busy kufuatilia Carlihnos na Bwarya wanafanya Nini leo uwanjani kuliko kufuatilia lissu anaongea Nini leo pale Segerea.

Usiwaone CCM wamesitisha shughuli zao Leo z kampeni ukawaona Kama hawana Akili Wanawajua vizuri Watanzania Ni watu wa burudani hasa siku hizi za weekend na wanazijua vizuri nguvu za Simba na Yanga kwa wananchi.

Endeleeni kukaza mafuvu Sasa mtaishia kuaibika kila siku na kupoteza mvuto kwa wananchi kwa kushindwa kuzingatia Mambo madogomadogo tu ya kimukakati Kama haya.
 
Sawa tumekusikia, kampeni meneja wa CHADEMA. Mawazo yako yataipa CHADEMA ushindi.
 
Hili Mr. Tonge - leta mada ni Taga katika yale mengine yaliyosajiliwa rasmi.

Ewe alumni wa Ilboru kama tegemea teuzi ndiyo jitihada zenyewe hizi za kufikishwa kujisali na mataga kama hawa mbona ni hatari kubwa?

Aaaaagh! Inatia soni kwa kweli.
 

Mkutano wa Tulia Mbeya una wahudhuriaji mara tano ya mkutano wa ufunguzi Chadema. POLENI SAFARI HII MMESHIKWA.
 
Kwa hiyo watanzania wengi Ni wapumbavu? Au Wamekata taamaa ya maisha, wanajiliwaza kwa mpira?

Kama yote Ni kweli Basi Kama taifa tuna shida kubwa mbeleni

Yeyote atakashinda uraisi atapata asipokuwa taabu sana,
 
Amri toka juu imekataza vyombo vyote vya Hari kuonyesha habari za CDM, magazeti yote yamefingiwa, hata done nazo zimedhibitiwa,
sijui unapoandika huu ujinga unamaanisha Nini?
 
By the way who are your? Wewe ni jizi la CCM utashauri Nini kuhusu chadema? F.u.c.k.i.ng


Washauri warundi na wahutu wenzio uko CCM .
Duh, CCM ni wahutu na warundi?! Hii ndio level yako?
 
Dah...mwisho kabisa...kama ushauri wote wanaopewa hawazingatii...na wakiona mambo hayaendi...watafute sababu yoyote hata kama ya kipuuzi.... wajitoe au wavuruge uchaguzi [emoji2960]
 
Lissu ni mgombea udiwani tu huyo!! Nafikiri sasa atakuwa ameshawajua Watz vizuri na bado tarehe 28/10/2020 mkae naye karibu siku hiyo asije akanywa sumu akafa halafu wanasaccos wasiingizie CCM Chama Dume!
 
Amri toka juu imekataza vyombo vyote vya Hari kuonyesha habari za CDM, magazeti yote yamefingiwa, hata done nazo zimedhibitiwa,
sijui unapoandika huu ujinga unamaanisha Nini?
Mwenyekiti Faru John aliwafukuza TBC1 sasa wewe unasemaje Amri toka juu? Au una maana Faru John??!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…