Sema hao warembo duuuhNaam
Ilikua jukumu langu ku qoute post yako mkuu. Ivi darasani juma anaongoza matokeo ya mwezi wa nne akija Rose akaongoza matokeo ya wa sita tumweke Rose wa pili kwa sababu juma aliongoza wa nne? Ni ivi kila mtu ana mtazamo tofauti.Labda km ww ndio hujaulewa mfano wangu mkuu, unaposema marapa wa muda wote sijui km umeelewa, angalia Kendrick ana muda gani ktk game alafu uje uangalie 2pac alikaa muda gani kwenye game alafu uangalie na main point "muda wote" vivo hivyo angalia muda ambao wema amekuwa trending miaka yote alafu angalia na muda ambao gigy money amekuwa trending, japokuwa hii mada imetolewa 2016 pia wema ametrend kuliko gigy sasa sijui km hukuelewa kweli au uliamua 2 kuni quote.
Basi tu hahahaWamefanya nini mkuu hahaha.
Hao hapana aisee. Sasa huyo gigy money ni hovyo kabisaWako vizuri ama nini? Kama unapesa apo jichagulie tu wapo wachache ukiwa na pesa unang'oa.
OK nimekupata mkuu point yako wewe haija base katika mfano wangu, mimi nimetolea mfano wa marapa bola wa muda wote, mfano hai, we mara ya mwisho kumskia NAS akiwa kwenye game ni lini? Utakubaliana namm kuwa ni siku nyingi sana, ila katika list ya marapa wa muda wote yupo mbele ya Kendrick ambae amehit sana hii miaka 3. Kwahiyo kwa hesabu za haraka haraka ata NAS hakupaswa kuwa mbele ya 2pac ila ndo hivo shakur hayupo na Kendrick yupo. Tukirud kwenye hii mada pia utakubaliana namm kuwa wema mwaka jana up to now ametrend kuliko gigy money, hapo ndipo mfano wako wa Rose na Juma unapofeli, kwakuwa ipo vise versa, yani Juma aliongoza mara zote mbiliIlikua jukumu langu ku qoute post yako mkuu. Ivi darasani juma anaongoza matokeo ya mwezi wa nne akija Rose akaongoza matokeo ya wa sita tumweke Rose wa pili kwa sababu juma aliongoza wa nne? Ni ivi kila mtu ana mtazamo tofauti.
Hahaha asee atueleweshani vizuri ila sio mbaya tuachie apa.OK nimekupata mkuu point yako wewe haija base katika mfano wangu, mimi nimetolea mfano wa marapa bola wa muda wote, mfano hai, we mara ya mwisho kumskia NAS akiwa kwenye game ni lini? Utakunaliana namm kuwa ni siku nyingi sana, ila katika list ya marapa wa muda wote yupo mbele ya Kendrick ambae amehit sana hii miaka 3. Kwahiyo kwa hesabu za haraka haraka ata NAS hakupaswa kuwa mbele ya 2pac ila ndo hivo shakur hayupo na Kendrick yupo. Tukirud kwenye hii mada pia utakubaliana namm kuwa wema mwaka jana up to now ametrend kuliko gigy money, hapo ndipo mfano wako wa Rose na Juma unapofeli, kwakuwa ipo vise versa, yani Juma aliongoza mara zote mbili
Namuona ligi ndogo kwa hao wengineSio levo au Ligi ndogo?
Yeah ni kweli mkuu tatizo ni kipaji cha kuelewesha ndo hatuna. Pamoja sanaHahaha asee atueleweshani vizuri ila sio mbaya tuachie apa.