Warembo wa JF, ulivutiwa na mchezaji gani kwenye kombe la dunia 2018?

Dada siyo kwa chumvi hiii looh
hahahahahahaha, hii ni sawa na pale unapita sehemu kuna msiba wa mtoto mchanga, halafu wewe ukajifanya unajua sana marehemu, unaanza zako "Marehemu wakati tuko shule, A' Level alikuwa machachari sana...." hahahahahah
 
hahahahahahaha, hii ni sawa na pale unapita sehemu kuna msiba wa mtoto mchanga, halafu wewe ukajifanya unajua sana marehemu, unaanza zako "Marehemu wakati tuko shule, A' Level alikuwa machachari sana...." hahahahahah
Hahahahaha nilikumiss sana ujue
 
Kaka hili neno kila nikiliona najikuta nacheka tu.

Sababu kulikuwa na rafiki yangu alikuwa analipenda mnoo sasa akilitamka basi waeza cheka kutwa.
hahaha inawezekana ni mtu huyu mmoja dada,
huyu mwingine pia akilisema nachekaga sana...alafu akilisema kwa mshangao flani hivi, hahaha
 
Ila mi demu anayeshabikia mpira cjui namwonaje! Naona kama hayupo sexy hivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…