Na sio ndogokazi ipo
HahahahaHuko mtaani kwenu hakuna wasichana........................utamaliza kuni kwa kuchemsha mawe................
subiri visichana vije, utakapata hako kasichana.
Hivyo ndio Vigezo vya kuja PMAtuambie pia anafanya kazi gani?
Kama ukitaka kujua kama ni wa kike na wewe badili 1D yako jifanye wakike kama kuna wenye I.d za kike ambao ni wanaume watajileta kukutongoza ndo na wewe hapo utawagundua kiurahisiJamani nisaidieni mimi nategemea kupata Kasichana humu JF...lakini kila nikaa..nashindwa kujua Hii ni ID ya mtoto wa kiume au wa kike....
Je nitumie njia gani kujua kama ni wakike au wakiume maana mimi naona wote ni kama wakiume sasa naumia sana kuona Jamaa anajichukulia Kadada humu kirahisi wakati mimi hata ID tuu siijui
Tuanze kwenye ID tuu..au hata hapa wajitaje tuu kama Ni KE....
Kwani kuna Tatizo?Na sio ndogo
Hahahahaha nimekusoma mkuu ila sio vizuri kudanganyaKama ukitaka kujua kama ni wa kike na wewe badili 1D yako jifanye wakike kama kuna wenye I.d za kike ambao ni wanaume watajileta kukutongoza ndo na wewe hapo utawagundua kiurahisi
Weka vigezo hapa! PM uongo mwingi!Hivyo ndio Vigezo vya kuja PM
Unataka kumnunulia begi au madaftari?ELIMU yako kwanza, na UMRI wako Ndo tuendelee na mengine.
Huo ni moyo wako mkuu lakini kuna wenye moyo huo wasipodanganya hawaishiHahahahaha nimekusoma mkuu ila sio vizuri kudanganya
Duuu....Jobless na sina proffesional yoyoteWeka vigezo hapa! PM uongo mwingi!
Umeonaaa eeehUnataka kumnunulia begi au madaftari?
Hahahahaha kweli yaaniHuo ni moyo wako mkuu lakini kuna wenye moyo huo wasipodanganya hawaishi
Kweli ww wa stendKama ukitaka kujua kama ni wa kike na wewe badili 1D yako jifanye wakike kama kuna wenye I.d za kike ambao ni wanaume watajileta kukutongoza ndo na wewe hapo utawagundua kiurahisi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji134] [emoji134]Unataka kumnunulia begi au madaftari?
[emoji13] [emoji13] [emoji85] [emoji85]Kweli ww wa stend
Vizuri. Watakaoridhishwa na vigezo vyako utawaona huko PM.Duuu....Jobless na sina proffesional yoyote
Wewe hujaridhika mkuuVizuri. Watakaoridhishwa na vigezo vyako utawaona huko PM.
Mimi sio msichana. Mimi ni mwanamke..Mama!Wewe hujaridhika mkuu
Hahahahah Mama NaniMimi sio msichana. Mimi ni mwanamke..Mama!