Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Ngoja nitume tenaDah kumbe PM zangu nikitumiwa yawezekana huwa zinaishia njiani.
Haki tena hamna PM
Ulijibiwaje?
Kumbe wenzangu wameshiba PM hadi zingine hawajibu?dunia haina usawa kweli.
Sasa na wewe umeanza kuwa mwoga kama vijana wako.
Hahahaha, we acha tu, ndio maana hua sianzi kumfuata PM ila kwako nimekujaUlijibiwaje?
Angalia vzrSasa na wewe umeanza kuwa mwoga kama vijana wako.
Au unaogopa mambo ya kimasihara?[emoji23][emoji23][emoji23]
Nasubiria kwa hamu na shauku.
Ungejaribu na kwangu kabla ya kukata tamaa.Yaani nikaona tu hiki siyo kipaji changu kabisa.
Ungejaribu na kwangu kabla ya kukata tamaa.
Kumbe ukitumiwa PM ndio inakuwa hivi.Hahahaha, we acha tu, ndio maana hua sianzi kumfuata PM ila kwako nimekuja
Sent using Jamii Forums mobile app
Tayari tuchatie PM tumwache Don Clericuzio hapa.
Hahahaha, aendelee na Uzi au na yy kaja pm kukufuataTayari tuchatie PM tumwache Don Clericuzio hapa.
Ungejaribu na kwangu kabla ya kukata tamaa.
HahahahaKwako nitakuja tar 8 mwezi ujao.
Wouzeeeeeeerrrrrrrr. Hiyo siku nanoa meno .Kwako nitakuja tar 8 mwezi ujao.
Hahahaha, mkuu nikutakie jpili njemaSawa, kila la kheri na mtu chake.