Inadhohofisha kila ukienda huku siasa tu inachosha tena inachosha zaidi pale wanatangaza majimbo mengi yamechuiuliwa na kijani tu!..Wapo insta
Hata sijui tuyaiteje kwakeli π¬π¬Hayo ni matokeo au mapokeo mkuu..?
Mkuu hii hali yatisha toka juzi napita humu ni holaa tu! Mpk kichwa kimeanza niuma kwa kuwakosa hao viumbe!.. huo uchaguzi wao unatukosti wengi ktk namna tofautitofauti..πWarembo wengi wanateseka na mfumo wa sasa ma mtandao nazani watakuwa wanajifunza mana hali ya mtandao hii itakaa katika kipindi fulani cha muda
Siri yangu...ila babu kidude hana mpinzani.[emoji854][emoji6]Unamchagua nani sahivi we bi kidude..?