warembo warembeka

hivi siku hizi wanawake hawavai magagulo (underskate) kabisa?
nauliza tu
maana zamani mpaka uione kufuli ujue umebarikiwa

kwa uvaaji huo ndugu yangu kituko hata gagulo litavaliwaje?
 
kila kitu nje,sijui alichobakisha kwa ajili ya mumewe/mpenziwe ni kipi.siku hiz sehemu za siri ni sehemu za nini sijui coz sio siri tena.

mie kanikera zaidi huyo wa kulia, nyonyo nje, kufuli nje halafu kufuli mbayaaaaaa.
 
Me picha kma izi uwa napata wakati mgun sana,lazma ntangulize mikono mfukoni kwanza ndo niangalie teh teh
 
huyo wa katikati ana tattoo kwenye titi..........au ni bigijii???
 
Wako kibiashara zaidi...:A S angry::A S angry::A S angry:
 
bila kukaa uchi chupi nje au mtindi wazi badoooo
 


Hivi huyu wa kulia nguo imepanda yenyewe au kaipandisha. Mezani sioni kinywaji kikali ila nafikiri huko alikotoka katandika viroba! Au ni kuku wa kienyeji!

Chupi nyeusi utadhani mchawi bwana! Maguo meusi yanawafaa wachawi bwana, hebu kabadilishe chupi wangu unatuangusha hivyo
 
Chupi nyeusi utadhani mchawi bwana! Maguo meusi yanawafaa wachawi bwana, hebu kabadilishe chupi wangu unatuangusha hivyo

Wewe mbona unaponda starehe za watu!yaani mimi nazipenda sana na tena wameshanihalibia siku kabisa!!
 
hii ilikuwa kitchen party ya msanii THEA inabidi watu tuwe makini sana huku kwenye vishughuli watu wnapigana picha kuja kubandika humu
 
mie kanikera zaidi huyo wa kulia, nyonyo nje, kufuli nje halafu kufuli mbayaaaaaa.

hahaha nyamayao afadhali hiyo nyeusi inaendana na nguo hiyo alovaa............mlitaka avae rangi ya bendera? lol

nafikiri kwa watu wanaovaa nguo fupi mno kama hizi, inachukuliwa kuwa ni class kuvaa kufuli nyeusi tena iwe in the form of shorts (kwa huku nchi za nje)

kwa hiyo mie naona kapatia bwana 😀
 
Hii staili ya kuficha kanipo tu...mnatukwaza...
 

:doh:
 
mnh hata mie ningekuwa na mwili wa kuvutia kama hao...ningelipuka tu na hivyo viwalo kha!:bowl:
 


Hivi huyu wa kulia nguo imepanda yenyewe au kaipandisha. Mezani sioni kinywaji kikali ila nafikiri huko alikotoka katandika viroba! Au ni kuku wa kienyeji!
hako katoto ka kushoto (Bongo movies) kamewiva vizuri kama ukikakamata ndio unagiduka mpk unapata kichomi:smile-big:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…