Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hii ndio Taarifa Mpya inayotamba mitandaoni kwa sasa
Habari kamili hii hapa
Habari kamili hii hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kinachojulikana, ndio maana tumestukaacha uvivu andika kilakitu
Weeeee!!!Na warioba hanaga iyana ukifika kwake mikocheni.
Akiweza anakutia hata milioni 5 nenda kapambane.
Mzee kanyooka sana huyo.
Nchi siku ipo mwanahalisi wacha tuwaulize mwanahalisi Mbowe yu wapi?
Umeandika maneno mazito sana hizo paragrafu mbili za mwishoKwa mtanzania mwenye mapenzi ya dhati kabisa na nchi hii kwa sasa mwanasiasa mwenye maono na mwenye upeo mkubwa kabisa wa mambo ya kitaifa na kimataifa ni Tundu Lisu .
Sitegemei kama Warioba hafuatilii kinachoendelea na bado akili zake zipo timamu kabisa ukimlinganisha na wale wanaoshindwa hata kuzijua katiba za vyama vyao.
Inasikitisha sana kuona Mwenyekiti wa chama hajui katiba ya chama mpaka anategemea ushauri wa wazee wakati katiba ipo .
Mtu ambaye hajui kilichomo kwenye Kakijitabu kama kale ka chama atajua vipi kilichomo kwenye kijitabu cha Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania au matamko ya UN. Matamko ya AU na katiba zake n.k.
Wasi wasi wangu yule mwenyekiti hata zile juzuu 30 za kitabu cha dini yake hazijui na hadithi za mtume ndio hajawahi hata kuzisikia. Maana angezijua hata hadithi za mtume bila shaka angeipenda pepo kuliko dunia .Asingetaka kulazimisha kuwa juu ya wanaume mil.31 tena kwa Rushwa .
Laana kutoka kwa Allah iwe juu yake na chama chake na rushwa wanazotoa ziwe ni laana kwao na vizazi vyao duniani na ahera .
💭💭💭Kwa mtanzania mwenye mapenzi ya dhati kabisa na nchi hii kwa sasa mwanasiasa mwenye maono na mwenye upeo mkubwa kabisa wa mambo ya kitaifa na kimataifa ni Tundu Lisu .
Sitegemei kama Warioba hafuatilii kinachoendelea na bado akili zake zipo timamu kabisa ukimlinganisha na wale wanaoshindwa hata kuzijua katiba za vyama vyao.
Inasikitisha sana kuona Mwenyekiti wa chama hajui katiba ya chama mpaka anategemea ushauri wa wazee wakati katiba ipo .
Mtu ambaye hajui kilichomo kwenye Kakijitabu kama kale ka chama atajua vipi kilichomo kwenye kijitabu cha Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania au matamko ya UN. Matamko ya AU na katiba zake n.k.
Wasi wasi wangu yule mwenyekiti hata zile juzuu 30 za kitabu cha dini yake hazijui na hadithi za mtume ndio hajawahi hata kuzisikia. Maana angezijua hata hadithi za mtume bila shaka angeipenda pepo kuliko dunia .Asingetaka kulazimisha kuwa juu ya wanaume mil.31 tena kwa Rushwa .
Laana kutoka kwa Allah iwe juu yake na chama chake na rushwa wanazotoa ziwe ni laana kwao na vizazi vyao duniani na ahera .
Umewahi kujiuliza , kwa mfano Yule mama wa mafisadi duniani ingetokea siku moja akapigwa kajiwe mguuni au mkononi .Wapinzani sijui kwanini kila wakati wanakosea step.
Hapa kama walienda kujadili siasa na uchaguzi mkuu wa 2025,basi washapigwa KO
2025,tupo na Mama
mzee warioba amenifurahisha sana dah, kweli ni mkongwe wa siasa za Tanzania,

Ndio mgombea uraisi .?
Njaa inakudhalilisha sanaWapinzani sijui kwanini kila wakati wanakosea step.
Hapa kama walienda kujadili siasa na uchaguzi mkuu wa 2025,basi washapigwa KO
2025,tupo na Mama
Nani kasema?Ndio mgombea uraisi .?