Warioba: Mbaraza ya Katiba waje na maoni mapya sio yale ambao yalishatolewa tayari

Warioba: Mbaraza ya Katiba waje na maoni mapya sio yale ambao yalishatolewa tayari

mcfm40

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2010
Posts
4,452
Reaction score
3,151
Katika kipindi cha dakika 45 jana cha ITV Mwenyekiti wa Tume ya Katiba Jaji Joseph Sinde Warioba amewaomba wananchi hasa katika mabaraza ya katiba watoe maoni mapya ya kuboresha kile kilichopo tayari na wasirudie maoni ambayo tayari yameshatolewa kwa tume na yenyewe kuyatolea mapendekezo kwa sababu hilo litakuwa kama kuanza upya. Mfano hakuna sababu watu kuja tena na mapendekezo ya Muungano kwa sababu watu wameshatoa maoni yamechambuliwa na tume imetoa mapendekezo. Lakini nionavyo ni kama CCM wanajiandaa kutoa mapendekezo mapay kwa kutumia wanachama wake ili kuilazimisha tume kufuata mapendekezo yao. Itakumbukwa kuwa mapendekezo mengi ya CCM hayajakubaliwa na mengi ya upinzani, wananharakati na wasomi ndio yaliyochukuliwa kwa wingi. Je CCM inataka kudhibithi sehemu ilyobaki ya mchakato wa katiba? Lengo lao nio nini? Na je Jaji Warioba yupo sahihi au la?
 
Katiba itaundwa na Bunge la katiba litalokuwa na nguvu ya kuchomoa na kuweka kipengele chochote kwa kadri itavoonekana inafaa. Hizi zingine ni mbwembwe za kuchelewesha mchakato ili kuupa uhalali na kuvimbisha Account zao!
 
Viongozi wengi wa CCM hawana nyuso za furaha baada ya rasimu hii kutoka. Wameweka matumaini yao kwnyw mabaraza ya katiba na Bunge la katiba. Je CCM wana nia njema kweli kuipatia Tanzania katiba nzuri? Ukiangalia ni kama wanategemea maoni mapya ili mapendekezo yaop yaliyotupwa yarudishwe. Walidhani katiba ni jambo la mchezo. Hakuna namna katiba mpya itaacha kuwaumiza CCM. Walifanya kosa kubwa kuruhusu mchakato wa katyiba mpya. Kazi ipo!
Katiba itaundwa na Bunge la katiba litalokuwa na nguvu ya kuchomoa na kuweka kipengele chochote kwa kadri itavoonekana inafaa. Hizi zingine ni mbwembwe za kuchelewesha mchakato ili kuupa uhalali na kuvimbisha Account zao!
 
Wakuu suala la Katiaba naona linaingia kwenye hatua muhimu sana. Kimsingi rasimu ya katiba ina upungufu mwingi sana, inatakiwa wanazuoni waijadili na kutupa mwanga watu tusioijua vizuri katiba yetu na raimu inayokuja. First it looks like the ruling party in the mainland has some kind of a monopoly in deciding on what should the new document look like, and she is not happy with bold decision made by tume ya katiba to include some of important recommendations in the draft document, which seem to be thorny to CCM. There is a need for a better mechanism for peoples' concerns, recommendations and opinion to be included in the document, regardless of what CCM thinks.

Lakini inaonekana kuna hali fulani ya udikteta kusema kwamba kilichojadiliwa kisijadiliwe tena, hii kidogo inaleta hali ya mashaka. Kama kweli kimejadiliwa ni kuwambia watu kuwa kimejadiliwa hivi na mapendekezo ni haya, sio kuwaambia wasijadili.
 
ukweli ni kwamba watakacho andika tume ya katiba ndicho hicho hicho na akuna wa kupinga ukwel ndo huo....ccm kama walijidanganya na kupoteza muda wao kujazana kwenye mabaraza ya katiba saizi ndo wanaona walichemsha
 
Back
Top Bottom