IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,362
- 6,274
Kwa muda mrefu mmejua akipiga kelele kwenye media akitetea katiba ile ya serikali tatu sijui nini kilitokea lakini naamini ni uchaguzi ndio ulifanya mnyamaze sasa naomba kutetea serikali tatu maana tanganyika lazima irudi tunaomba mshirikiane jukwaa la katiba na kuendelea kufanya na kuelimisha jamii kuhusu katiba mpya ikiwemo kuikataa katiba pendekezwa ya masisiem kuhusu gharama wala msiwaze polepole nitakulipia vipindi vyote vya channel ten vitakavyo utakavyo shiriki kuhusu katiba mpya