Kitendo cha mwenyekiti wa Tume ya kuratibu maoni ya katiba joseph warioba kuwapiga marufuku waandishi wa habari na vikundi mbalimbali vya kijamii kuchukua details kuhusu maoni ya wananchi na pia kauli yake ya kumuunga mkono Rais jk kuwa anayo haki kutoa muongozo kwa niaba ya tume kinatia shaka kuwa warioba huenda akawa anatumiwa au anaruhusu kutumiwa na wahusika kwa ajili ya msalahi yao ya kisiasa.
Wasiwasi wa warioba ni nini mpaka kupiga maarufuku media, mtu mwenye kitu cha kuficha au asiyependa uwazi ndiyo
siku zote hapendi media iripoti kila anachokifanya kwani maoni yanatolewa wazi sasa kuna nini cha kuficha??
freedom of information ni kitu kinaliliwa sana nchi hii kwani kinazibiti usiri which can lead to abuse of power.
Ninavyohisi mimi ni kwamba wasiwasi wa warioba huenda unatokana na kitendo cha CUF zanzibar kuweza kufuatilia mikutano yote ya tume na kuweza kujua ni idadi gani ya watu imetoa maoni ya aina gani na ya kuyaweka kwy kumbukumbu zao something which should have been done by every watch dog groups from the beginning. kutokana
na haya anayoyafanya warioba kutaka kuingiza usiri kwy hii process basi kuna haja kutumia ule usemi wa rais Reagan
wa Trust but verify kuanzia sasa ili angalau wajue kuwa somebody somewhere is watching them wasije wakatu surprise
hawa watu kwani sababu mojawapo ya watu kutaka hayo mabadiliko ya katiba ni kuachana na mfumo unaoendekeza kuendesha mambo ya kwa usiri.
Wasiwasi wa warioba ni nini mpaka kupiga maarufuku media, mtu mwenye kitu cha kuficha au asiyependa uwazi ndiyo
siku zote hapendi media iripoti kila anachokifanya kwani maoni yanatolewa wazi sasa kuna nini cha kuficha??
freedom of information ni kitu kinaliliwa sana nchi hii kwani kinazibiti usiri which can lead to abuse of power.
Ninavyohisi mimi ni kwamba wasiwasi wa warioba huenda unatokana na kitendo cha CUF zanzibar kuweza kufuatilia mikutano yote ya tume na kuweza kujua ni idadi gani ya watu imetoa maoni ya aina gani na ya kuyaweka kwy kumbukumbu zao something which should have been done by every watch dog groups from the beginning. kutokana
na haya anayoyafanya warioba kutaka kuingiza usiri kwy hii process basi kuna haja kutumia ule usemi wa rais Reagan
wa Trust but verify kuanzia sasa ili angalau wajue kuwa somebody somewhere is watching them wasije wakatu surprise
hawa watu kwani sababu mojawapo ya watu kutaka hayo mabadiliko ya katiba ni kuachana na mfumo unaoendekeza kuendesha mambo ya kwa usiri.