Jerlamarel
JF-Expert Member
- Sep 14, 2021
- 843
- 2,525
Klabu ya Simba imewatambulisha Mwijaku na Kay Mziwanda kuwa wahamasishaji wapya wa klabu hiyo, kazi aliyokuwa akiifanya aliyekuwa Msemaji wa klabu hiyo, Haji Manara.
Umewapokeaje wahamasishaji hawa?
Binafsi sina neno ila nina swali moja tuu, Je hawa wana mikataba?
Umewapokeaje wahamasishaji hawa?
Binafsi sina neno ila nina swali moja tuu, Je hawa wana mikataba?