Dhambi zote kwani si zinauzito sawa kwa mujibu wa maandiko?
Sasa dhambi hiyo ya kuuwa kichanga na kuzini si ni sawa au? (sawa na ya kusema uongo, kudokoa vitu vya watu, n.k?)
Ufafanuzi tafadhali
Ndio Dhambi zote sawa, tatizo kuna dhambi zinazaa nyingine na nyingine: Mf mtu aliye ua tukio lile litachukua muda sana kutoka akilini au lisitoke kbs, tofauti na aliye tukana nk
Mwalimu kwani mtazamo wako kwenye utoaji mimba ni nini?
wanawake wachache sana ambao hawajawahi kutoa mimba. Hasa kipindi chao cha utoaji mimba ni kuanzia sekondari na chuo
Gaijin, vipi kwenye macho ya sheria za nchi, haya makosa yana adhabu kali zaidi, hiyo haikufanyi uone kuwa hayalingani?
<br />Kuna mtu anajali sheria ya nchi Tanzania sasa? Watu wanakwapua mabilioni ya umma, mtu anaona mwili wake mwenyewe, potelea mbalini.<br />
<br />
<br />
Disclaimer <br />
<br />
Siungi mkono utoaji mimba, tunajadili tupate kujua tu vichocheo vinavyowapeleka kutoa mimba.
Disclaimer ndo mpango sio....lol!
G uko sawa kwenye utii wa sheria! Ni kama tumekuwa lawless state tu sasa....kila mtu anafanya apendalo.
Wakukwiba haya, wakuua haya, alimradi fujo tupu.
mi navofahamu sababu halali ya kutoa mimba ni pamoja na pale inapohatarisha uhai wa mama, na hilo lithibitishwe na mganga.
Hivi ukibakwa na ukabeba mimba je, is it a legitimate reason to abort?
Naamini kuna occasions-rarely I admit- zinazolazimisha mimba kutolewa ambazo afya ya mama inakuwa hatarini.
Mimba iruhusiwe kutolewa kwenye situations kama hizo na kila ikiwa changa ni bora zaidi.