VoiceOfReason
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,194
- 1,365
For Generations Millions of people have been trying to make a perpetual motion machine (so they can sell it, obtain massive wealthy and free energy) but little did they know it went against laws of physics...."Whatever the MIND of man can CONCEIVE and BELIEVE it can ACHIEVE" Nh.
The book's Intro reads like this:-
"Whatever may be said in praise of poverty, the fact remains that it is not possible to live a really complete or successful life unless one is rich. No one can rise to his greatest possible height in talent or soul development unless he has plenty of money, for to unfold the soul and to de-velop talent he must have many things to use, and he cannot have these things unless he has money to buy them with."
Hujaelewa nini, ana maana wabongo ni wavivu wa kusoma, hasa vitabu.Mkuu, kama sijakuelewa vema vile, ebu fafanua hapo kwenye red.
Sisemi kwamba hiki kitabu ni kibaya., lakini kwenye kila kitabu unaweza ukapata idea moja ambayo itakusaidia.. Nikishindwa kulima sio kwamba Jembe halifai labda sikutumia jembe vizuri, au nikitumia msumeno kama nyundo labda ni makosa yangu na sio kwamba msumeno haufai...Ninacho kitabu hiki nimekisoma sana lakini hakijanisaidia kuwa tajiri jee wewe kimekusaidia? Naomba tuwasiliane tubadilishane mawazo
MATAJIRI hawatauona UFALME WA MUNGU!!!
Wallace D. Wattles.
Myself I think "The Richest Man in Babylon by George Samuel Clason" puts it simply:-
To fulfil those ambitions and realize those dreams, people need to learn how to be successful with money. The basic principles of effective money management are:
Na ukizingatia hiki kitabu kiliandikwa 1926 utagundua kwamba the rules have never changed and they have always been the same..., You just need the right attitude
- Save at least 10-percent of all that you earn for an investment fund for the future.
- Learn to live on 90-percent or less of your income.
- Invest your accumulated capital into projects that will provide a safe, steady income, taking full advantage of compounding of the interest received.
- Invest only in areas in which you have expertise or with people who are experienced.
- Buy the house in which you live so you don't waste any money on rent.
- Have a realistic insurance program
- Always keep working at various ways and means of increasing your income.
Hujaelewa nini, ana maana wabongo ni wavivu wa kusoma, hasa vitabu.
Sisemi kwamba hiki kitabu ni kibaya., lakini kwenye kila kitabu unaweza ukapata idea moja ambayo itakusaidia.. Nikishindwa kulima sio kwamba Jembe halifai labda sikutumia jembe vizuri, au nikitumia msumeno kama nyundo labda ni makosa yangu na sio kwamba msumeno haufai...
My point is kwamba kama idea isiponisaidia mimi sio kwamba haifai.... kitabu kinakuonyesha njia tu kwamba from A to B njia ndio hii its up to you kama utembee, upande punda, farasi au uende kwa ndege