Warumi ndiyo waligundua vyoo. Vyoo vya kwanza vilikuwa na muonekano huu...

Warumi ndiyo waligundua vyoo. Vyoo vya kwanza vilikuwa na muonekano huu...

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1621827584684.png
Haya ma basin yaliweka maji ya kunawia, vyoo vilijengwa karibu na chemichemi na kulikua na mtiririko wa maji unaosafisha uchafu.
 
Warumi walikuwa wanapenda starehee tu hawa jamaa, waliona kuchuchumaa shigiiida mno, halafu chanzo sasa cha ugunduzi huo ndio cha kidwaanzi nikiweka hapa hamna mtu ataamini (maana ni narative tu na wana JF wana hulka ya kutaka ushahidi wa picha)
 
Walipump maji ya kusafisha hivi vyoo na uchafu ulikwenda kwenye shimo.
Kama kuna mtu humu amewahi kwenda Zanzibar kwa utalii, apitie pale kanisa la Anglican; kuna historia inayofanana na hi. Kwamba Watumwa wale walijisaidia halafu maji ya bahari yalikua yanakuja yanakipeleka kinyesi baharini; imagine wakati bahari imehama na watumwa wanataka kujisaidia, hilo harufu lilikuaje?
 
Kama kuna mtu humu amewahi kwenda Zanzibar kwa utalii, apitie pale kanisa la Anglican; kuna historia inayofanana na hi. KWamba Watumwa wale walijisaidia halafu maji ya bahari yalikua yanakuja yanakipeleka kinyesi baharini; imagine wakati bahari imehama na watumwa wanataka kujisaidia, hilo harufu lilikuaje?
kumbuka kwamba Waanglicana (hilo kanisa unalisema) sio Warumi. usichanganye mada. kanisa la anglican ni kanisa la Uingereza, Warumi ni Wataliano.
 
Basi utasikia hiyo ni miaka elfu kadhaa iliyopita, wakati "Watanganyika Original" hadi leo hawana uwezo wa kuwa na vyoo kama hivyo, halafu akina MALCOM LUMUMBA wanatuambia eti Wakoloni ndio wamesababisha Afrika iwe maskini!!!

Nyie watu nyie!!!

Watetezi na Wafuasi Kindakindaki wa Mabeberu lazima tuilinde na kuipigania "Legacy ya Mabeberu"!
 
kumbuka kwamba Waanglicana (hilo kanisa unalisema) sio Warumi. usichanganye mada. kanisa la anglican ni kanisa la Uingereza, Warumi ni Wataliano.
Warumi walitawala Uingereza, ninadhani Waingereza walitumia tekonelojia hii kujenga vyoo vya watumwa.
 
kumbuka kwamba Waanglicana (hilo kanisa unalisema) sio Warumi. usichanganye mada. kanisa la anglican ni kanisa la Uingereza, Warumi ni Wataliano.
I know, nimeandika hivyo kulingana na style ya hicho choo kilivyo jengwa na jinsi nilivyo ambiwa na watu pale Zanzibar.

Kanisa lile la Anglican, Waingereza (kupitia kwa David Livingstone ) waliamua kulijenga mahali ambapo waarabu walikua wanawaweka watumwa, standby kwa ajili ya kuwasafirisha kwenda huko walikokua wanawapeleka so kimsingi hivyo vyo havikujengwa na Waingereza, vilijengwa na Waarabu wa Oman cause wao ndio walikua wanaendesha hiyo biashara.
 
Back
Top Bottom