Ndiyo maana haya yanaitwa mapambano ya kifikra (ideological battle).
If you have nothing important to say, it is always better to keep quiet.
do you think you have one, other than copy and paste news from Tanzania Daima as if we don't know the link, can you please count the posts you made by copy and paste in this forum!
Tehe tehe tehe
do you think you have one, other than copy and paste news from Tanzania Daima as if we don't know the link, can you please count the posts you made by copy and paste in this forum!
Tehe tehe tehe
Nini tena humu?Naona Mipasho kama ya Nasma Kidogo na Khadija Kopa
C'mon guys hebu tuendelee kumkoma nyani MCHANA KWEUPE!
Nadhani kuna wanao amua kwa makusudi mazima kupotosha hoja kwa sababu zao binafsi C'mon guys hebu tuendelee kumkoma nyani MCHANA KWEUPE!
Back to the issue, nimeuliza hapo nyuma kwamba sasa mambo yako wazi kwamba Bunge lilikosea kumsimamisha Zitto what next?
Hapa nina maana hakuna mahali kulingana na kanuni za Bunge ambapo anaruhusiwa kukata rufaa? ama hiyo ni mpaka mahakamani ambazo mahakama zenyewe ndo za Mwendo wa muuaji Ditto?
Bunge likifunguliwa naomba upinzani upeleke mjadala wa kumuadhibu kara..kwa kudanga bunge juu ya maslahi ya mkataba wa Buzwagi
Muhimu ni ku-test the other side of the coin, maana sikuhizi mambo yatabaki kwenye mitandao,,, utakuja sutwa baadaye, mimi tu nakukumbusha mzee mzima,,, usije adhirika!
Muhimu ni ku-test the other side of the coin, maana sikuhizi mambo yatabaki kwenye mitandao,,, utakuja sutwa baadaye, mimi tu nakukumbusha mzee mzima,,, usije adhirika!
Nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko...