Pre GE2025 Wasafi, Clouds na Kitenge ni matambara ya kudekia ya CCM, kusafisha matapishi na uchafu wote unaomwagwa mbele yao!

Pre GE2025 Wasafi, Clouds na Kitenge ni matambara ya kudekia ya CCM, kusafisha matapishi na uchafu wote unaomwagwa mbele yao!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Hawa watu hata matambara ya kudekia hatoshi kuelezea upumbavu huu wanafanya na hizo poda zilizojaa kwenye vichwa vyao, maana matambara yanasaidia kufanya usafi vizuri na kuhakikisha sehemu inakuwa safi kuliko hawa wapuunzi ambao wapo hapo kwaajili ya kula matapishi na chochote wanachotupiwa!

Tunategemea hawa wakiona kitu cha kukemewa watafanya hivyo kwa nguvu zote kwa maslahi ya umma? Hii ni zaidi ya fedheha kwa waandishi wa habari ambao kweli wanafanya kazi zao kwa weledi.


Pia soma: Pre GE2025 - Hali ya Vyombo vya Habari kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025: Kuna uhuru wa kutosha katika utekelezaji wa majukumu yao?
 
Wakuu,

Hawa watu hata matambara ya kudekia hatoshi kuelezea upumbavu huu wanafanya na hizo poda zilizojaa kwenye vichwa vyao, maana matambara yanasaidia kufanya usafi vizuri na kuhakikisha sehemu inakuwa safi kuliko hawa wapuunzi ambao wapo hapo kwaajili ya kula matapishi na chochote wanachotupiwa!

Tunategemea hawa wakiona kitu cha kukemewa watafanya hivyo kwa nguvu zote kwa maslahi ya umma? Hii ni zaidi ya fedheha kwa waandishi wa habari ambao kweli wanafanya kazi zao kwa weledi.

Yote haya ni nguvu ya pesa tu! kutoka CCM
 
Tasnia ya habari imebakwa sana kwa muongo huu mmoja.
Urahisi wa kuanzisha vyombo vya habari hasa radio na TV imeleta vyombo vingi vya habari kulikopelekea vyombo hivyo kutafuta "wapiga makelele" na kuwafanya wanahabari.
 
Umewaona hao tu? Mbona media nyingi zipo front Dodoma, Salim toka juzi yupo huko na Crown media.
 
Umewaona hao tu? Mbona media nyingi zipo front Dodoma, Salim toka juzi yupo huko na Crown media.
shida sio kuwepo, shida ni uchawi wametoka kwenye utangazaji wakuripot matukio yanayojiri huko
 
Ukitaka kujua unafiki watu kuwa na hela halafu uwe unatoa utapendwa na woteeeee, itokee mara paa CHADEMA inashika nchi hawa wote wanapiga U-turn mpaka utashangaa. Unafiki ni moja ya kipaji cha watu wengi kwenye taifa hili na yote ni sababu ya matumbo na wengi hawawezi survive nje ya harakati kama hizi.
 
Wakuu,

Hawa watu hata matambara ya kudekia hatoshi kuelezea upumbavu huu wanafanya na hizo poda zilizojaa kwenye vichwa vyao, maana matambara yanasaidia kufanya usafi vizuri na kuhakikisha sehemu inakuwa safi kuliko hawa wapuunzi ambao wapo hapo kwaajili ya kula matapishi na chochote wanachotupiwa!

Tunategemea hawa wakiona kitu cha kukemewa watafanya hivyo kwa nguvu zote kwa maslahi ya umma? Hii ni zaidi ya fedheha kwa waandishi wa habari ambao kweli wanafanya kazi zao kwa weledi.

Mataahira kabisa
 
lakini unategemea kuelimishwa, changamoto zako zipaziwe sauti, ujue ufisadi unaofanywa nchini? Ujue viongozi wanaotumia vibaya madaraka yao...nk, nk, nk?
Tz wanaozingatia weledi, huishia kuonekana vituko, kama ni muajiriwa nadhani utakua na experience ya jambo hili.
 
Back
Top Bottom