Wasafi festival imefanikiwa asilimia 99

Wasafi festival imefanikiwa asilimia 99

eastmea

Senior Member
Joined
Jul 28, 2018
Posts
159
Reaction score
133
Hongera kwa wasafi tamasha lenu limefanikiwa sana alafu tuseme tu ukweli toka Tanzania (Tanganyika) ipate Uhuru ndo wanakuwa wasanii wa kwanza kujaza vile tena kwa kiingilio cha elfu kumi
Huo ndo ukweli ukiangalia hata picha zao ni vertical sio horizontal kama ilivyokuwa upande wa pili,natumaini wataalamu wa photo mmenielewa
IMG_20181125_113214_912.jpg
 
Nyomi mamammamamh! Vichwa kama maganda ya koroshow yaliy banguliwa.

Hongera zao
 
Hongera kwa wasafi tamasha lenu limefanikiwa sana alafu tuseme tu ukweli toka Tanzania Tanganyika ipate Uhuru ndo wanakuwa wasanii wa kwanza kujaza vile tena kwa kiingilio cha elfu kumi
Huo ndo ukweli ukiangalia hata picha zao ni vertical sio horizontal kama ilivyokuwa upande wa pili,natumaini wataalamu wa photo mmenielewaView attachment 945695
Sawa ngoja TIMU Mavi wenzako waje kukuunga mkono.
 
zama za cloudz kama zinaanza kuingia ukungu,wacha siku zisogee ukweli utajulikana
 
Wasafi si watu wa mchezomchezo...
Naona Freemasons wote bongo, Jana walivamia Mtwara
 
Kila kitu na zama zake,zama za clouds ndo zinaelekea mwisho ila kwa kilichowapata clouds ⛅️ inabidi wajipange vizuri pia kujua hujuma za wapinzani
 
Nyomi mamammamamh! Vichwa kama maganda ya koroshow yaliy banguliwa.

Hongera zao
hahahaha wamakonde baada ya kumuibia Mond wakaona ngoja waende kuirudisha kwa kuijaza Nangwanda
 
Back
Top Bottom